mbenda said
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 1,084
- 2,074
Wazo zuuuuuliUza noah nunua ist fanya uber
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuuuuuliUza noah nunua ist fanya uber
Wee bhana hebu tuletee kwanza picha nikupe wazoo
Picha yenyewe ili ni jue ni aina gani ili ninapokupa wazo liendane na hiyo gariNiambie mkuu......
Okkk....nitakutumia mkuu....kwa Sasa natumia kisimu chenye uwezo ndogo...kifupi ni noah old model, sr40Picha yenyewe ili ni jue ni aina gani ili ninapokupa wazo liendane na hiyo gari
Wee bhana hebu tuletee kwanza picha nikupe wazoo
Hiyo apoooo mkuu....Lete wazooii
Tafuta day care au shule ubebe wanafunzi malipo kwa mwezi, karibu kwenda kwenye shule za kishua, walimu waongee na wazaz Kama wanauitaji.sio wote wanapanda mabas ya njano.Habar wakuu, kuna gari Aina ya noah zile za zamani, Sasa najiuliza ni biashara gani niweze kufanya ili niweze kupata pesa kwa kutumia hii gari... Kumbuka kwa usafiri kwa hapa Dar es salaam imekatazwa...naombeni mawazo yenu wakuu, na mungu atawabariki.., au kama kuna connection yoyote ile ya namna ya kuitumia hii gari nijulishe. Mimi napatikana hapa Dar, na hiyo gari pia ipo hapa hapa Dar.
Bidhaa gani za kuuza?1. Wahi kwenye vituo vya daladala asubuhi sana na pakia watu wapeleke wanapokwenda...
2. Igeuze kua duka... Weka bidhaa simamisha sehemu anza kuuza...
Ngoja waje kukupa muongozo...