Nina Noah, ni biashara gani niweze kufanya?

Picha yenyewe ili ni jue ni aina gani ili ninapokupa wazo liendane na hiyo gari
Okkk....nitakutumia mkuu....kwa Sasa natumia kisimu chenye uwezo ndogo...kifupi ni noah old model, sr40
 
Tafuta day care au shule ubebe wanafunzi malipo kwa mwezi, karibu kwenda kwenye shule za kishua, walimu waongee na wazaz Kama wanauitaji.sio wote wanapanda mabas ya njano.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
1. Wahi kwenye vituo vya daladala asubuhi sana na pakia watu wapeleke wanapokwenda...

2. Igeuze kua duka... Weka bidhaa simamisha sehemu anza kuuza...


Ngoja waje kukupa muongozo...
Bidhaa gani za kuuza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…