Nina nyumba uswahilini inatengeneza Tsh. 40,000/- kwa mwezi, niendelee au napoteza muda?

Nina nyumba uswahilini inatengeneza Tsh. 40,000/- kwa mwezi, niendelee au napoteza muda?

Kama ni eneo kuna watu wengi na wanaendelea kuongezeka haiwezi kukutupa.

1. Nakushauri usiwe na haraka ya kuuza, fanya kama vile hiyo m5 ilipotea hivyo haipo tena.

2. Ipangishe hata kwa hiyo hiyo elfu 10 halafu subiri muda utakupa majibu. Ukarabati mruhusu mpangaji afanye mtakatana kwenye kodi, hata akifanya ukarabati wa kukaa bure miaka 5 usihofu muache ila fanya ukaguzi wa mara kwa mara usiitelekeze.

Nimefanya sio mara moja na mwishoni nilicheka kwa furaha kwa kuwekeza kwenye ardhi.

Unless eneo liwe huko nyantumbi ambapo hapakui pamedumaa.
Mkuu unaambiwa hata pakupita kuingia ndani ya hiyo nyumba hapapo.

Kila mtu kajenga hadi mwisho wa Ukuta.

Ndio maana walimwuzia mil 5.

Sehemu ya kueleweka hakuna bei hiyo hata kama ni uswazi.

Sehemu ya kuelewekq hata kama ni uswazi Chumba ni elfu 40 hadi 50.

So kwa vyumba vitatu angekuja 150,000 mara 12 anapata almost ,3M.

Ambayo ni hela nzuri.

Uwekezaji kwenye nyumba unaingiza pesa kidogo bora viwanja
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Najua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;

1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli

Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]

Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.

Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.

Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.

Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?

Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!

Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.

Sema mkoa location, huu ushauri unaoutafuta hapa ndo ulifanya ukapoteza hiyo 5m
 
Mkuu unaambiwa hata pakupita kuingia ndani ya hiyo nyumba hapapo.

Kila mtu kajenga hadi mwisho wa Ukuta.

Ndio maana walimwuzia mil 5.

Sehemu ya kueleweka hakuna bei hiyo hata kama ni uswazi.

Sehemu ya kuelewekq hata kama ni uswazi Chumba ni elfu 40 hadi 50.

So kwa vyumba vitatu angekuja 150,000 mara 12 anapata almost ,3M.

Ambayo ni hela nzuri.

Uwekezaji kwenye nyumba unaingiza pesa kidogo bora viwanja
Ok mkuu. Apambane.
 
Back
Top Bottom