Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Mimi ninayo Moja sema ya urithi Imezungukwa Kila pande na Kila jirani kajenga hadi mwisho wa eneo lake.
Bahati nzuri Ina kaeneo kidogo unaweza Jenga chumba na sebule hata kuchimba shimo jipya kubwa tu
Ila utoke hapo kwenge mtaani lazima upite kwenye eneo la mtu[emoji2].
Hakauziki, sababu wanunuaji Kila wakija wanadai barabara kutokea hapo na haipo. [emoji2]
Kukarabati uvivu, maana Kako uswazi hata vyumba Bei za kimasikini.
Nimekaacha kanaozeana miaka na miaka kutu kwenye bati, shoti zinapiga.
Wapangaji wanalipa 150k kwa mwezi. At
Bahati nzuri Ina kaeneo kidogo unaweza Jenga chumba na sebule hata kuchimba shimo jipya kubwa tu
Ila utoke hapo kwenge mtaani lazima upite kwenye eneo la mtu[emoji2].
Hakauziki, sababu wanunuaji Kila wakija wanadai barabara kutokea hapo na haipo. [emoji2]
Kukarabati uvivu, maana Kako uswazi hata vyumba Bei za kimasikini.
Nimekaacha kanaozeana miaka na miaka kutu kwenye bati, shoti zinapiga.
Wapangaji wanalipa 150k kwa mwezi. At