njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Hako kanyumba katakua kapo Gaza si kwa kuzungukwa hukoKasema hakauziki, kako land-locked, kamezungukwa na nyumba pande zote 4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako kanyumba katakua kapo Gaza si kwa kuzungukwa hukoKasema hakauziki, kako land-locked, kamezungukwa na nyumba pande zote 4.
Mwanza kubwa sana ipo mwanza maeneo gani? Km utaiuza hta milioni mbili tunaweza kufanya biasharamwanza
Najua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;
1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli
Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]
Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.
Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.
Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.
Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?
Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!
Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.
Hatari sana.2019 ..mil 5 fixed deposit UTT kwa mwezi 60k × 12= 720k mara 4 yrs 2880,000faida
Kikarabati kidogo au ukiboreshe/extension kiwe na room km 5, weka umeme utaokota 40-50,000 kwa mwezi. Utakuja kunishukuru.Najua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;
1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli
Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]
Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.
Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.
Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.
Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?
Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!
Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.
🤣🤣🤣🤣 anihonge meKihonge tu kama una hawara
Kikarabati kidogo au ukiboreshe/extension kiwe na room km 5, weka umeme utaokota 40-50,000 kwa mwezi. Utakuja kunishukuru.
Iongezee thamani kuliko kuiacha.Nimewaz hivo lakini kwa kule uswazi kutengeneza 50/40 kwa rum uongo mwisho sana 30!! sasa nimewaz kwa iyo ela had ije irudi hela yangu n lini
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna mjinga atakuja aseme ufugie nguruwe
Uwekezaji wa ardhi au nyumba unahitaj akili kubwa sana ....ila ukifanya kwa tamaa majuto ni makubwa sana coz hela yake kurudi huchukua muda sana, Hapo ulifanya makosa haukujipa muda wa kufanya tathmini .... 5m hapo hairudi mzee ....
Uliyekuuzia aliutua mzigo mkubwa sana
Gesti bubu inalipa short time 5,000Najua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;
1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli
Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]
Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.
Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.
Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.
Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?
Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!
Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.
Daah[emoji1]Kama haupo mbali na hicho kibanda, ni bora ufugie tu mifugo..
Location wap mkuuNajua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;
1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli
Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]
Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.
Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.
Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.
Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?
Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!
Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.