Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Nenda uwe anakachukulia mkopo benki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia hii imekaa kwenye ardhi ndogo tu lakini inatosha kwa familia hata 4Sasa kasema nyumba ipo kati, imezungukwa na mijengo pande zote nne, na kila kajenga hajaacha hata uchochoro,
Duu pande 4 zote, kaburi sasa hilo 😄Sasa kasema nyumba ipo kati, imezungukwa na mijengo pande zote nne, na kila kajenga hajaacha hata uchochoro,
Na hivyo hatoweza sababu nyumba ipo kati.usimamizi tu, huwezi fanya kila jambo mwenyewe
Inapendeza, pesa,pesa.Angalia hii imekaa kwenye ardhi ndogo tu lakini inatosha kwa familia hata 4
Ni ubunifu tu na hela kama ipo
Mimi ningefanya hivyo ila kwa hii ni ndefu kidogo maana moja inatoshaView attachment 2779751
Shauri yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duu pande 4 zote, kaburi sasa hilo [emoji1]
Hii hesabu haina ukweli labda umeamua kupotosha ama haujui2019 ..mil 5 fixed deposit UTT kwa mwezi 60k × 12= 720k mara 4 yrs 2880,000faida
Unakurupuka sana mjomba ,mm sikulaumu sana..Hii hesabu haina ukweli labda umeamua kupotosha ama haujui
Utt wanatoa faida ya asilimia moja kwa mwezi kwa kiwango ulichowekeza
Hivyo hiyo million tano utapata elfu hamsini na sio elfu sitini uliyoandika
Hii hesabu haina ukweli labda umeamua kupotosha ama haujui
Utt wanatoa faida ya asilimia moja kwa mwezi kwa kiwango ulichowekeza
Hivyo hiyo million tano utapata elfu hamsini na sio elfu sitini uliyoandika
Angalia hii imekaa kwenye ardhi ndogo tu lakini inatosha kwa familia hata 4
Ni ubunifu tu na hela kama ipo
Mimi ningefanya hivyo ila kwa hii ni ndefu kidogo maana moja inatoshaView attachment 2779751
Yani unasubiri milioni 2 kwa miaka minne duh!2019 ..mil 5 fixed deposit UTT kwa mwezi 60k × 12= 720k mara 4 yrs 2880,000faida
IiNajua kuna mnaofanya hii biashara na inawalipa sana. Kama inakulipa basi ni ether;
1. Unapangisha fremu za maduka (kama location n nzuri au barabarani)
2. Wenye apartment katikati ya mji
3. Wenye biashara ya guest/lodge au hoteli
Kwa upande wangu, nina nyumba ndogo sana vyumba 2 na sebule na kimoja cha nje. Nilikinunua hiki kibanda mwaka 2019 kwa milioni 5.[emoji3064]
Kipindi hiko sina nyumba nilikurupuka kutaka kumiliki atlest kijumba mjini. Kina sehemu ndogo sana. Yaani huwezi kujenga wala kuendeleza kitu kingine kimebanana sana mahali ilipo imezungukwa na majirani ambao nao kila mmoja amejenga hadi mwisho wa uwanja wake.
Nikaanza kupangisha. Bei za huku kwasababu hamna umeme hamna maji basi bei ni elfu 10.
Sasa kwa hii elfu 10 nawaza hadi sasa 2023 sijafikisha hata laki 3 au 5 niliopokea kwene hiki kijumba.
Natamani kukiuza lakini hakiuziki. Naona hata uvivu kukikarabati maana nitapoteza hela tena.
Nawezaje kuongeza thaman ya hiki kijumba muda unaenda?
Mawazo yanayonijia;
1. Nikifanye guest (changamoto ni kadogo, kako katikati ya uswazi labda nilale mwenyewe).
2. Niweke hata mashine? Sielewi!
Toa ushauri jinsi wewe ulivyoongeza thamani ya nyumba yako, au unavoweza kupiga hela kupitia kijengo.
Ndio tatz la vijana WANA TAMAA YA FEDHAYani unasubiri milioni 2 kwa miaka minne duh!
Kakwambia haiuziki muwe mnasoma uzi vizuriUza ununue bodaboda mbili. Boda moja itakuingizia Tsh.10000 kila siku. Acha kuitwa baba mwenye nyumba/baba mjengo/faza-house uanze kuitwa "zee la tuk-tuk"!Hapo vipi?
Yote ni mataka taka tu2019 ..mil 5 fixed deposit UTT kwa mwezi 60k × 12= 720k mara 4 yrs 2880,000faida
Kama wew ulivo taka takaYote ni mataka taka tu
Aigawe bure.Haiuziki au bei ni changamoto?Kakwambia haiuziki muwe mnasoma uzi vizuri