Nina nywele nyekundu mno, zinafanya nikose kujiamini

Jana Ulirudi Usiku

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
2,360
Reaction score
2,269
Naumia mno, siyo kwamba nakataliwa, la, ila nakuwa insecure kiasi fulani. Nywele zangu ni nyekundu sana, na sifahamu bado ni dawa gani ninaweza tumia.

Super blacks situmii na hata kuzisikia sitaki, nataka kufahamu lishe au mbogamboga zozote za kula ili nirutubishe nywele zangu kiasili.

Zikikua kubwa nahisi aibu mno wakati mwingine, sema tu sura na muonekano vinanibeba vinginevyo ningekuwa mtu wa punyeto pekee mpaka mikono ingeota sugu.

Ushauri wa tiba asilia tafadhali, nipunguze insecurity!
 
Eumelanin kwa Ngozi.
Pheomelanini kwa nywele.
Je una Ngozi Nyeusi au ndio vile inataka kufanana na nywele mwanetu..... Tuanzie hp.
#Naweza kukuambia kitu.
 
Vaa kofia utakuwa umetisha
 
Piga kapelo tu mkuu hakuna namna
 
Kwapani lazima ziwe na rangi ya njano, ukiingia swimming 🏊‍♂️ pool maji yanabadilika rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…