Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Nina pepo la kukinai wanawake nikishafanya nao mapenzi, Mwamposa anawezaje kunisaidia?

Unakosaje hamu ya kugegeda?

Ila kuhusu swala la kuishi na mwanamke kwa miezi au hata miaka mingi hakujengwi kwa misingi ya ngono tu ni vitu vingi , ikiwa msingi wa kuishi na mwanamke fulani utakuwa ni ngono tu basi haiwezekani kudumu nae kwa muda mrefu, kwasababu ule wakati ambao utakuwa umetosheka kingono hautamuhitaji tena.
 
Inategemea umependa nini tako jeupeeeee au jeusi?
Upendo hauna sababu,mtu aliyependa haswa anakuwa Hana sababu maalumu ya kuelezea kile amependa kutoka kwa huyo aliyempenda.

Shepu,rangi,makalio,macho,pua nk siyo sabanu ya upendo maana ukiishi and Sana ndiyo yanakukuta ya mleta mada..unakuja kumwona wa kawaida,coz ulipenda macho,au tako,au rangi...Again, upendo wa kweli unakuwa hauna sababu. Unajikuta tu unapenda.
 
Naweza fukuzia demu muda mrefu nakujiapiza kuwa nikimpata huyu naweka ndani,mwisho wa siku namkinai fasta mawazo ya kuoa yanafutika,naanza na mwingine
Unamfukuzia kea sababa akili yako imekuambi huyu Ni mwanamke mkali ambaye anakufaa uwe nae. Follow your heart,your brain is stupid!! Sauti ya moyo ndiyo sauti sahihi.
 
Back
Top Bottom