Nina rafiki wa ajabu sijapata kuona!

Nina rafiki wa ajabu sijapata kuona!

Jinsi gani' ulivyo Arrogant ! Ukweli huenda hajui kachukua stori za vijiwen
Hivyo unge mpa Elimu kuwa kuna vidonge vya kuzia mimba Ana meza Mwanamke , vinaitwa.....kuna vya Emergency kupambana na virus wa damu pep....vinatumika hivi.
Huo' ndio urafiki mwema ila ww hufai kuwa Rafiki ya mtu Yoyote maana mtu Anaweza kueleleza kanywa sumu bahati mbaya na ukamwacha ukaenda zako ...aisee ww ni ajabu kinoma
 
Fanya mpango uoe utadharilika sana, kitanda unacholalia kinatumika vibaya unakaribisha mikosi
 
Fanya mpango uoe utadharilika sana, kitanda unacholalia kinatumika vibaya unakaribisha mikosi
kikao kilichopita tulisema swala la ndoa ni mtambuka huko mahakamani taraka haziishi kwa wanandoa!,sasa sisi singles tunafata nini..??
 
Alikuja akaniazima ghetto,bila hiana nikamuazima alikuwa na pisi yake moja maridhawa! mtoto mchongoko,uno la kigoda ngozi nyepunyepu halafu kamdomo kale kakuombea miamala!..

ujinga wa huyu rafiki yangu upo hapa mfukoni alikuwa na vile vidonge vya pii two!,sasa baada yakumaliza mchezo akanitafuta tukawa tunapiga stori akiniambia alivyomgalagaza mtoto wa watu!.
huku akiwa na furaha akaniambia "wakati hatujaanza ule mchezo nilikunywa vile vidonge,hivyo sina wasiwasi kabisa!!"

kijasho chembamba kilinitoka,nikabaki nimemtazama kwa kuduwaa! nikawa najifikiria ndani yangu kama huyu bata maji anazo au ni moja ongeza na mbili halafu zidisha na sifuri!.
alivyoona namkodolea macho akaongeza..
"kaka yule kama alijiona yeye mjanja mimi ndio mtoto wa mjini!!"

Nilitamani nimlambe banzi lkn nikajiona nitaungana nae kwenye ujinga wake!. nilichofanya nikuondoka nakumuacha akiwa njia panda!.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aiseee!Alichanganya VIAGRA NA P2.
Mungu amsamehe na amrehemu.
 
Alikuja akaniazima ghetto,bila hiana nikamuazima alikuwa na pisi yake moja maridhawa! mtoto mchongoko,uno la kigoda ngozi nyepunyepu halafu kamdomo kale kakuombea miamala!..

ujinga wa huyu rafiki yangu upo hapa mfukoni alikuwa na vile vidonge vya pii two!,sasa baada yakumaliza mchezo akanitafuta tukawa tunapiga stori akiniambia alivyomgalagaza mtoto wa watu!.
huku akiwa na furaha akaniambia "wakati hatujaanza ule mchezo nilikunywa vile vidonge,hivyo sina wasiwasi kabisa!!"

kijasho chembamba kilinitoka,nikabaki nimemtazama kwa kuduwaa! nikawa najifikiria ndani yangu kama huyu bata maji anazo au ni moja ongeza na mbili halafu zidisha na sifuri!.
alivyoona namkodolea macho akaongeza..
"kaka yule kama alijiona yeye mjanja mimi ndio mtoto wa mjini!!"

Nilitamani nimlambe banzi lkn nikajiona nitaungana nae kwenye ujinga wake!. nilichofanya nikuondoka nakumuacha akiwa njia panda!.
Shule zimefungwa kumbe, unafungua lini shule mwanangu?
 
Back
Top Bottom