Nina rafiki wa ajabu sijapata kuona!

Jinsi gani' ulivyo Arrogant ! Ukweli huenda hajui kachukua stori za vijiwen
Hivyo unge mpa Elimu kuwa kuna vidonge vya kuzia mimba Ana meza Mwanamke , vinaitwa.....kuna vya Emergency kupambana na virus wa damu pep....vinatumika hivi.
Huo' ndio urafiki mwema ila ww hufai kuwa Rafiki ya mtu Yoyote maana mtu Anaweza kueleleza kanywa sumu bahati mbaya na ukamwacha ukaenda zako ...aisee ww ni ajabu kinoma
 
Uzi unaonesha ni mandhari ya uswahilini nasema uongo ndugu zangu?
 
Fanya mpango uoe utadharilika sana, kitanda unacholalia kinatumika vibaya unakaribisha mikosi
 
Fanya mpango uoe utadharilika sana, kitanda unacholalia kinatumika vibaya unakaribisha mikosi
kikao kilichopita tulisema swala la ndoa ni mtambuka huko mahakamani taraka haziishi kwa wanandoa!,sasa sisi singles tunafata nini..??
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Aiseee!Alichanganya VIAGRA NA P2.
Mungu amsamehe na amrehemu.
 
Shule zimefungwa kumbe, unafungua lini shule mwanangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…