Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashindwa kuanza na ekari moja wakati mzazi wako hajasoma ila kakutunza na kakusomesha kwa hichohicho kilimo wewe msomi unakwama wapi.Naweza ila Sina kianzio Cha kufanya hivo!!
all the best ndugu kuna NGOs zinafanya tafiti za kilimo jaribu kuzicontact kama una uzoefu wa kuchakata na data.Inawezekana lakini, mpaka umefanikisha yote haya lazima uwe na kianzio mkuu
We rikiboy huu uzoefu wa kuchakata uliouzungumzia hapa ni tofauti na ule wa kuchakata Mbususu?all the best ndugu kuna NGOs zinafanya tafiti za kilimo jaribu kuzicontact kama una uzoefu wa kuchakata na data.
Tatizo Uzi wako una kuhukumu mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wee jamaa daah aisee...ila humu ndani hata nikitoa mchango positive manaona ni ngonooo tuuu nyambafu
Sawa nitafanya hivo ndugu🙏Mwanasuaso mwenzangu nakushauri peleka barua za kuomba kufanya kazi kwa kujitolea katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya uliyopo na za Jirani, Makampuni binafsi yanayo jihusisha na kilimo pamoja na Taasisi mbalimbali zilizo chini ya Wizara ya Kilimo kama vile TARI, ASA, TPHPA n.k.
Sambaza barua kwa mkono wewe mwenyewe wala usimtume mtu.....All the best Kamanda!!
Siku ukijiwa na wazo la kutumia huo ujuzi wako kujiajiri, basi niamini mimi; utatoboa mapema sana kimaisha.Habari wana JF, natafuta kazi.
Nina degree ya horticulture nimeipata chuo Cha SUA.
Umri: Miaka 25
Experience: 1 year
Jinsia: Me
Mkoa: Mbeya
Pia Nina uzoefu na ujuzi mkubwa wa computer yaani software maintenance na kutumia application (Microsoft office"excell, word, publisher", Photoshop )
Ni kweli mkuu ila pakuanzia muhimuSiku ukijiwa na wazo la kutumia huo ujuzi wako kujiajiri, basi niamini mimi; utatoboa mapema sana kimaisha.
Ingawa natambua fika mwanzo utakuwa mgumu. Ila ukitulia, maisha yatakuwa mteremko mpaka mwenyewe utashangaa.