Nina shahawa nyingi sana.ushauri nahitaji

Nina shahawa nyingi sana.ushauri nahitaji

J putin

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
1,263
Reaction score
1,206
Kichwa cha habari hapo juu.

Ni miaka miwili imepita ,niliwahi kutoa UZI kama hili kwenye ID yangu nyingine, kuomba ushauri kuhusu hili jambo.

Mimi siyo mtu wa sketi sana,kwa mwezi naweza kushiriki mara mbili au nisifanye kabisa.

Ila ninaposhiriki tendo hili naweza kutoa shahawa c chini ya 15cc-20cc .Na hata nikienda round tano mpaka 6 hali ni ile ile.

Na mpaka nilijua labda ulaji ila nimejitahidi kubadilisha aina ya vyakula .

Nimewahi kuhakiki hili jambo.
Na nina nguvu kama ya simba.

Naomba kujua hili tatizo ni jambo la kawaida au ni tatizo?

Hapa ni jukwaa na tuko watu wa kila aina.yawezekana pia wapo na wengine.
 
Wauzie wanaohitaji....nadhani wamekufuata pm.
 
Mkuu nimewahi kupima,lakini nimeambiwa hakuna tatizo,na nimeambiwa ni jambo ambalo lipo kwa wanaume japo ni asilimia ndogo sana .sasa nataka kujua wapo watu kama mimi kweli au hili limekaaje .
Kutoka udenda muda wote haimaanishi kuwa una mate mengi.......hilo ni tatizo si suala la kujivunia
 
Back
Top Bottom