Nina shahawa nyingi sana.ushauri nahitaji

Nina shahawa nyingi sana.ushauri nahitaji

Kitaalam mtu anayekaa muda mref pasipo sexual lazma uzalishaji wake wa sperm cells lazma uwe kwa kiwango kikubwa so that's normal issue mkuu also no stressed up
 
Watu wanataka friction Hata ukifungia nje sawa2...kwahyo usijivunie sana .....na sio ugonjwa huo we tulia ...endelea na shughuli zako za kilasiku.
 
Swali, hizo shahawa ni nyingi kiasi cha kutoka zenyewe kama mkojo?

Umeoa? Una demu?

Jibu hapo kisha tutaendelea
 
Sisi wanadamu ni waongo sana..ila bwana Putin kaichukua hii to whole another level...

Uongo mkubwa in such a way unakaribia ukweli,thats how big this lie from Putin is!
 
Kichwa cha habari hapo juu.

Ni miaka miwili imepita ,niliwahi kutoa UZI kama hili kwenye ID yangu nyingine, kuomba ushauri kuhusu hili jambo.

Mimi siyo mtu wa sketi sana,kwa mwezi naweza kushiriki mara mbili au nisifanye kabisa.

Ila ninaposhiriki tendo hili naweza kutoa shahawa c chini ya 15cc-20cc .Na hata nikienda round tano mpaka 6 hali ni ile ile.

Na mpaka nilijua labda ulaji ila nimejitahidi kubadilisha aina ya vyakula .

Nimewahi kuhakiki hili jambo.
Na nina nguvu kama ya simba.

Naomba kujua hili tatizo ni jambo la kawaida au ni tatizo?

Hapa ni jukwaa na tuko watu wa kila aina.yawezekana pia wapo na wengine.
Nenda ubalozi wa marekani, wananunua pale, wanaume wa kule hawajazi hata CC 1. We waambie al barkhani ghairi al usama bin laden ameniagiza.
 
Back
Top Bottom