Nina shahawa nyingi sana.ushauri nahitaji

Hiyo ni Sawa kuwa na makamasi mengi puani, halafu unajidai mbele ya wenzio et una makamasi mengi! Upumbavu tu!
 
Kuna alikua akiuliza swali ukajibu hovyo, anakwambia huu ni utoko. Wewe unaongea utoko
 
Huwa Nashangaa sana hawa wa2 wanaojifanya majogoo huku JF! Wengi wao wako affected physiologically
 
Mkuu nimewahi kupima,lakini nimeambiwa hakuna tatizo,na nimeambiwa ni jambo ambalo lipo kwa wanaume japo ni asilimia ndogo sana .sasa nataka kujua wapo watu kama mimi kweli au hili limekaaje .
Sasa kama ulisha ambiwa na wataaalam walio kupima kuwa hakuna tatizo, unataka sisi tukuambie nini? Ndio maana unapewa majibu mengine ya kuudhi! Kama vipi jiunge na CHAPUTA upunguze
 
hilo ni jambo la kawaida, kama kwa mwezi unakula mara moja ukiipatamo utaachia ndoo
 
Mkuu nimewahi kupima,lakini nimeambiwa hakuna tatizo,na nimeambiwa ni jambo ambalo lipo kwa wanaume japo ni asilimia ndogo sana .sasa nataka kujua wapo watu kama mimi kweli au hili limekaaje .


Hiyo siyo dalili nzuri, mwisho wake siyo mzuri.kama unauwezo wa kuzipiima hizo 15cc -20 cc.maana yake ulizitoaje.au ulizikusanya ndomu ulizotumia au chaputa
 
Wenye Mada kama hizi.. wengi sio wageni! ni I'd mpya hii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…