Kaguo Willy
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 194
- 172
Halafu siku hizi naona mkuu umechukua nafasi ya "The list".Nahisi ni dalili za kuelekea ushogani.
Dah mkuu majibu yako huwa yananipa burudani sn!Unaweza kujaza IST full tank?
Halafu siku hizi naona mkuu umechukua nafasi ya "The list".
Hujui 'The list' alivokuwa? "Rubbish"Kwanini? @Karot
Lipia tangazo mkuu " Uongozi wa JF unasema bado haujafanya hivyoTayari
Nenda ubalozi wa marekani, wananunua pale, wanaume wa kule hawajazi hata CC 1. We waambie al barkhani ghairi al usama bin laden ameniagiza.Kichwa cha habari hapo juu.
Ni miaka miwili imepita ,niliwahi kutoa UZI kama hili kwenye ID yangu nyingine, kuomba ushauri kuhusu hili jambo.
Mimi siyo mtu wa sketi sana,kwa mwezi naweza kushiriki mara mbili au nisifanye kabisa.
Ila ninaposhiriki tendo hili naweza kutoa shahawa c chini ya 15cc-20cc .Na hata nikienda round tano mpaka 6 hali ni ile ile.
Na mpaka nilijua labda ulaji ila nimejitahidi kubadilisha aina ya vyakula .
Nimewahi kuhakiki hili jambo.
Na nina nguvu kama ya simba.
Naomba kujua hili tatizo ni jambo la kawaida au ni tatizo?
Hapa ni jukwaa na tuko watu wa kila aina.yawezekana pia wapo na wengine.
Naona Avatar yako unatuonesha makalio! Kunani?Hujui 'The list' alivokuwa? "Rubbish"
Unaweza kujaza IST full tank?
mpelekee jamaa apandikize apate mtoto aache kutafuta watoto waliotelekezwa na baba zaoWauzie wanaohitaji....nadhani wamekufuata pm.
Makalio tena???Naona Avatar yako unatuonesha makalio! Kunani?
Au The List alikuwa na matumizi nayo.