Nina shauku ya kukutana na mwanaJF mwenzangu

Wakuu.

Sijawahi kukutana na mwanaJF mwenzangu yeyote yule toka nimejiunga hapa.

Najisikiaga vibaya sana tunatumia fake IDs. Why ? Kwanini wakuu ?

Mwenzangu uliwahi kukutana na mwanaJF yeyote jamani ?
Watu wote nnao waona mtaani huwa hawafanani kabisa na wa humu jf... natamani nikutane nao nione wanafananaje[emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…