kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
SureVijana aina ya mleta mada hawana tija ktk taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SureVijana aina ya mleta mada hawana tija ktk taifa.
Achaga masikhara basi.Hayo yote unayoyaona leo mazuri,awamu ya tano ndio tumeweka foundation.
Toa hojaPumba
Sijaona chakusifia hapoToa hoja
Ni haki yako kuona hivyo!Sijaona chakusifia hapo
Bado una ka unafiki ndani Yako. Kama unapongeza,ni haki Yako,hutaki pia si lazima maana inajulikana kwamba jukumu la serikali ni kukusanya Kodi na kuifanyia maendeleo nchi.Huwezi kunikuta hata siku moja nikisema Asante Samia kwa kujenga hospitali, au barabara au shule.
Hata siku moja huwezi kuniona nikisema asante Samia kwa kupeleka maji sehemu ya Tanzania au umeme.
Haya ni majukumu ya msingi ambayo Serikali yeyote inapaswa kuyafanya na Wananchi hawapaswi kushukuru Serikali inapotimiza wajibu wake wa msingi. Pia haya yote yanafanywa kama majukumu ya msingi kwa kodi zetu sisi Watanzania!
Kuna maeneo machache ambayo mtu anapaswa kupewa sifa au shukrani binafsi.
Sote tunafahamu nafasi ya Tanzania kimataifa ilishuka sana awamu ya 5. Kuna fursa nyingi ambazo kama nchi tulianza kuzikosa kutokana na Magufuli kuharibu sana suala la Mahusiano ya Kimataifa.
Tuliona mikutano mikubwa ikienda kufanyika Rwanda huku Rwanda wakijibrand kimataifa kufikia hata kuizidi Tanzania na wakichukua fursa mbalimbali za Kiuchumi.
Kusema ukweli, Rais Samia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuinua tena nafasi ya Tanzania kimataifa.
Kufanyika kwa mikutano mikubwa kama huu wa Nishati sio tu kunaifanya Tanzania kujulikana zaidi ila kunaongeza fursa za Tanzania kiuchumi ikiwemo kuongeza wageni mbalimbali wanaotembelea nchi yetu na pia kuzidi kuipa nchi fursa zaidi za kiuchumi.
Vitu vya namna hii ndo watu wenye akili wanaweza sema tumpongeze Rais Samia maana masuala haya sio majukumu ya msingi ya Serikali bali ni juhudi binafsi za mhusika ndizo zinasababisha haya.
Bado nina shida kubwa na CCM ila kwa kuinyanyua hivi Tanzania Kimataifa, hongera Samia
Baadhi ya watanzania ni wanafki ila everyone agrees kimoyo moyo.Huwezi kunikuta hata siku moja nikisema Asante Samia kwa kujenga hospitali, au barabara au shule.
Hata siku moja huwezi kuniona nikisema asante Samia kwa kupeleka maji sehemu ya Tanzania au umeme.
Haya ni majukumu ya msingi ambayo Serikali yeyote inapaswa kuyafanya na Wananchi hawapaswi kushukuru Serikali inapotimiza wajibu wake wa msingi. Pia haya yote yanafanywa kama majukumu ya msingi kwa kodi zetu sisi Watanzania!
Kuna maeneo machache ambayo mtu anapaswa kupewa sifa au shukrani binafsi.
Sote tunafahamu nafasi ya Tanzania kimataifa ilishuka sana awamu ya 5. Kuna fursa nyingi ambazo kama nchi tulianza kuzikosa kutokana na Magufuli kuharibu sana suala la Mahusiano ya Kimataifa.
Tuliona mikutano mikubwa ikienda kufanyika Rwanda huku Rwanda wakijibrand kimataifa kufikia hata kuizidi Tanzania na wakichukua fursa mbalimbali za Kiuchumi.
Kusema ukweli, Rais Samia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuinua tena nafasi ya Tanzania kimataifa.
Kufanyika kwa mikutano mikubwa kama huu wa Nishati sio tu kunaifanya Tanzania kujulikana zaidi ila kunaongeza fursa za Tanzania kiuchumi ikiwemo kuongeza wageni mbalimbali wanaotembelea nchi yetu na pia kuzidi kuipa nchi fursa zaidi za kiuchumi.
Vitu vya namna hii ndo watu wenye akili wanaweza sema tumpongeze Rais Samia maana masuala haya sio majukumu ya msingi ya Serikali bali ni juhudi binafsi za mhusika ndizo zinasababisha haya.
Bado nina shida kubwa na CCM ila kwa kuinyanyua hivi Tanzania Kimataifa, hongera Samia
Nadhani ameeleza vizuri tu tusione mabaya pekee ya Samia kuna mengine tumpongezeVijana aina ya mleta mada hawana tija ktk taifa.
Ikiwa wewe kiboko ya HAMAS NA HIZBULLAH umeliona hilo sio mbayaNadhani ameeleza vizuri tu tusione mabaya pekee ya Samia kuna mengine tumpongeze
Kweli kabisa. Mzunguko wa pesa unaongezekaKupitia hii mikutano kuna fursa zitapatikana hata hotel kujaa, sisi wakulima kuuza mazao yetu.
Kweli na tupongeze kwenye yanayostahili kupongezwa. Sio kupongeza kwenye upuuziNadhani ameeleza vizuri tu tusione mabaya pekee ya Samia kuna mengine tumpongeze
Yaani umefurahia kusimamisha uchumi wa wananchi wa kawaida kwa kuzia shughuli za uzalishaji hadi mkutano uishe! Huu ndiyo ulikuwa wakati wa wananchi kufanya biashara na wageni waliokuja, ilikuwa fursa kwa wananchi kuonesha ukarimu na amani iliyopo nchini kwa kuwapokea na kuwashangilia wageni ambao wangependa kutembelea maeneo mbalimbali ya jiji la Dar, siyo kufunga wasifanye shughuli zao kabisaKwani kuna sehemu nimesema kajenga hii Conference centre?
Kuvutia na ikiwezekana kufanya lobbying mikutano ya namna hii kufanyika nchini kwako hii ni sifa ambayo kwenye ulimwengu wa kimataifa kiuchumi lazima uwe nayo ili kuvutia na kutengeneza zaidi fursa kwako.
Una shida na ccm kwa sababu ya utamaduni wao?Huwezi kunikuta hata siku moja nikisema Asante Samia kwa kujenga hospitali, au barabara au shule.
Hata siku moja huwezi kuniona nikisema asante Samia kwa kupeleka maji sehemu ya Tanzania au umeme.
Haya ni majukumu ya msingi ambayo Serikali yeyote inapaswa kuyafanya na Wananchi hawapaswi kushukuru Serikali inapotimiza wajibu wake wa msingi. Pia haya yote yanafanywa kama majukumu ya msingi kwa kodi zetu sisi Watanzania! Hakuna kiongozi anayetoa fedha zake mfukoni kufanya haya.
Kuna maeneo machache ambayo mtu anapaswa kupewa sifa au shukrani binafsi.
Sote tunafahamu nafasi ya Tanzania kimataifa ilishuka sana awamu ya 5. Kuna fursa nyingi ambazo kama nchi tulianza kuzikosa kutokana na Magufuli kuharibu sana suala la Mahusiano ya Kimataifa.
Tuliona mikutano mikubwa ikienda kufanyika Rwanda huku Rwanda wakijibrand kimataifa kufikia hata kuizidi Tanzania na wakichukua fursa mbalimbali za Kiuchumi.
Kusema ukweli, Rais Samia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuinua tena nafasi ya Tanzania kimataifa.
Kufanyika kwa mikutano mikubwa kama huu wa Nishati sio tu kunaifanya Tanzania kujulikana zaidi ila kunaongeza fursa za Tanzania kiuchumi ikiwemo kuongeza wageni mbalimbali wanaotembelea nchi yetu na pia kuzidi kuipa nchi fursa zaidi za kiuchumi.
Vitu vya namna hii ndo watu wenye akili wanaweza sema tumpongeze Rais Samia maana masuala haya sio majukumu ya msingi ya Serikali bali ni juhudi binafsi za mhusika ndizo zinasababisha haya.
Bado nina shida kubwa na CCM ila kwa kuinyanyua hivi Tanzania Kimataifa, hongera Samia
Ni Chama kilichoishiwa Sera, akili na maarifa ya kuipeleka mbele TanzaniaUna shida na ccm kwa sababu ya utamaduni wao?
Hakuna shughuli ya uchumi iliyosimama. Boda kama hujapeleka abiria Posta utapeleka Magomeni au Gongo la MbotoYaani umefurahia kusimamisha uchumi wa wananchi wa kawaida kwa kuzia shughuli za uzalishaji hadi mkutano uishe! Huu ndiyo ulikuwa wakati wa wananchi kufanya biashara na wageni waliokuja, ilikuwa fursa kwa wananchi kuonesha ukarimu na amani iliyopo nchini kwa kuwapokea na kuwashangilia wageni ambao wangependa kutembelea maeneo mbalimbali ya jiji la Dar, siyo kufunga wasifanye shughuli zao kabisa
Hatari snIkiwa wewe kiboko ya HAMAS NA HIZBULLAH umeliona hilo sio mbaya
Kwa nini tusubiri? Kwani huoni impact ya huo mkutano so far?Sijui la kusifia hapa na kama ungesubiri mpaka mkutano uishe na kuona kuna fursa gani zimekuja na je vijana watapata ajira
Au matajiri wataongezeka sawa
Ila mpaka wizi utapokoma na Rushwa labda ndio tutasonga kidogo, mbali na hapo hawa viongozi wakuondoka tu business as usual kama wanavyosema wanasiasa matapeli