Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
😂 ila watuNakushauri wewe na utaelewa tu na usipoelewa nitaendelea kukushauri hadi ujue kuongea na watu vizuri.
Mimi naweza nikawa sina hiyo gari ila nina connection kwa hiyo maelezo yako yaliyojitosheleza ndio yangekusaidia wewe kwenye hiyo connection yangu.
Nakushauri ubadilike lasivyo utatembea na miguu hadi jua likuambie “nunua gari nitakuja kukuua”.