Njoo pm man, tufanye connectionKila mtu ana mawazo yake.
Hiyo kazi unayofanya ni lazima sana upande gari binafsi?
Dah! vijana tuna safari ndefu sana.
Lete pesa kidogo tu 4.5M nikuuzie Altezza iliyo kwenye hali nzuri kabisa.
Kama huna cash nielekeze kazini kwako.
Tuwekeane mkataba.
Unaitumia pesa ikitimia hiyo 4.5M gari inakuwa yako.