Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
daaahItakuwa una undugu na azizi ki.
Umeshajaribu kwenda kwa wataalam wa afya ya kinywa?
Ila kama ni mlambaji jitafakari.
wapPimbi umerudi
Hizo ni dalili za mwanzo kabisa za UBIMWI (Upungufu wa Bia Mwilini)Wakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi.
Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
si kweli mzee mbona niko tu poa nimepimaHizo ni dalili za mwanzo kabisa za UBIMWI (Upungufu wa Bia Mwilini)
nayo inaunguza midomoAcha Na Shisha Pia
Sexy 💋Wakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi.
Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
Umeacha pombe kali muda gani sasa na ulishakunywa kwa muda gani? Mwili unapona taratibu, jipe muda kurecover. Hongera kwa maamuzi ya kujinufaisha wewe binafsi.Wakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi.
Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
Una Upungufu wa Vitamin na madini mwilini mwako kamuone Daktari usipopona nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa poleWakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi.
Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
Check TBWakuu, lips zimeungua watu wanasema ni pombe kali lakini nimeacha bado hali iko hivi.
Najiuliza mbona kama pombe kali wengi wanakunywa na hawaungui ivi
kaah nyie jamaaCheck TB
Tb na kuungua midomo wap na wapCheck TB
nyie waganga wa kienyeji nyieUna Upungufu wa Vitamin na madini mwilini mwako kamuone Daktari usipopona nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole
nina kama miezi mitatuUmeacha pombe kali muda gani sasa na ulishakunywa kwa muda gani? Mwili unapona taratibu, jipe muda kurecover. Hongera kwa maamuzi ya kujinufaisha wewe binafsi.
unazitaka??😳Sexy 💋
Na pombe ulikunywa kwa muda gani?nina kama miezi mitatu
miaka kumiNa pombe ulikunywa kwa muda gani?
Kula vizuri na mboga za majani na matunda kwa wingi. Mwili utapona taratibu. Hongera kwa kujijali.