Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nimechekà🤣🤣🤣🤣Kama mbeya uende na kurudi ila ulale stand
Buza labda...Ndugu zangu,
Nataka kwenda sehemu yoyote Tanzania nikapumzike kwa wiki moja. Bajeti yangu ni kama Shilingi 200,000/= hivi. Je inawezekana kwa bajeti hiyo?
Matarajio yangu ni haya.
1. Sehemu hiyo iwe na mandhari nzuri za asili. Nataka nitembee, niexperience maisha ya kawaida ya watu, nipoze akili kidogo.
2. Vyakula viwe vizuri ila visivyo na gharama sana. Nyama au samaki pamoja na matunda viwepo kwa wingi.
3. Malazi yawe safi na salama ila ya gharama za kawaida. Ningependa kukaa lodge safi.
Vipaumbele vyangu ni sehemu moja kati ya Iringa, Mbeya, Bukoba na Mwanza ingawa niko tayari kupafikiria na pengine.
Acha utani iyo 200k ni ya kulala tu pale mikumi resortnenda mikumi ukatalii na chenji inabaki
Saba saba maoneshoNdugu zangu,
Nataka kwenda sehemu yoyote Tanzania nikapumzike kwa wiki moja. Bajeti yangu ni kama Shilingi 200,000/= hivi. Je inawezekana kwa bajeti hiyo?
Matarajio yangu ni haya.
1. Sehemu hiyo iwe na mandhari nzuri za asili. Nataka nitembee, niexperience maisha ya kawaida ya watu, nipoze akili kidogo.
2. Vyakula viwe vizuri ila visivyo na gharama sana. Nyama au samaki pamoja na matunda viwepo kwa wingi.
3. Malazi yawe safi na salama ila ya gharama za kawaida. Ningependa kukaa lodge safi.
Vipaumbele vyangu ni sehemu moja kati ya Iringa, Mbeya, Bukoba na Mwanza ingawa niko tayari kupafikiria na pengine.
Nenda Bagamoyo, kila ulichosema kipo, mji mdogo, wakazi wenye maisha ya kawaida, mandhari nzuri, historia, ufukwe, chakula bei rahisi na hoteli tulivu za gharama za kawaida, halafu ni nje tu ya jijiNdugu zangu,
Nataka kwenda sehemu yoyote Tanzania nikapumzike kwa wiki moja. Bajeti yangu ni kama Shilingi 200,000/= hivi. Je inawezekana kwa bajeti hiyo?
Matarajio yangu ni haya.
1. Sehemu hiyo iwe na mandhari nzuri za asili. Nataka nitembee, niexperience maisha ya kawaida ya watu, nipoze akili kidogo.
2. Vyakula viwe vizuri ila visivyo na gharama sana. Nyama au samaki pamoja na matunda viwepo kwa wingi.
3. Malazi yawe safi na salama ila ya gharama za kawaida. Ningependa kukaa lodge safi.
Vipaumbele vyangu ni sehemu moja kati ya Iringa, Mbeya, Bukoba na Mwanza ingawa niko tayari kupafikiria na pengine.
Nenda Chato katalii kwenye "intaneshino eyapoti" bila kusahau kwenye kaburiNdugu zangu,
Nataka kwenda sehemu yoyote Tanzania nikapumzike kwa wiki moja. Bajeti yangu ni kama Shilingi 200,000/= hivi. Je inawezekana kwa bajeti hiyo?
Matarajio yangu ni haya.
1. Sehemu hiyo iwe na mandhari nzuri za asili. Nataka nitembee, niexperience maisha ya kawaida ya watu, nipoze akili kidogo.
2. Vyakula viwe vizuri ila visivyo na gharama sana. Nyama au samaki pamoja na matunda viwepo kwa wingi.
3. Malazi yawe safi na salama ila ya gharama za kawaida. Ningependa kukaa lodge safi.
Vipaumbele vyangu ni sehemu moja kati ya Iringa, Mbeya, Bukoba na Mwanza ingawa niko tayari kupafikiria na pengine.
Pale penyewe akifanya masihara anaweza asirudi na chenji, kulenga shabaha pale ukinogewa unajikuta unanunua tu risasi, kuja kutahamaki ushatumia risasi za elfu 50😂Nenda Dar es Salaam zoo na chenchi inarudi
Zenji kwa hela hiyo inatosha?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sikia mchizi wangu, njoo huku porini kwangu, tutalala kwenue kibanda changubcha nyasi, nina kitanda cha kamba cha ziada hicho utatumia (sijakitumia muda mreeefu kama kitazingua, nitalala kwenye mkeka we utalala kwenye tendegu langu) hiyo laki 2 tununua viroba vya unga, mchele na mafuta, maharagwe nakadhalika, hapa utakaa zaidi ya muda wako, mimi ndio nitakuwa tua gaida wako, nakuzungusha kijijini kote na mademu wa huku wakiona mgeni wa mjini hawamnyimi.
Karibu sana mzee.
🤣🤣🤣🤣🤣Hiyo hela tafuta hotel ya nyota 4 ulale usiku mmoja kesho urudi kwenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzee mwenzangu umetisha sana.
Pambana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee mwenzangu naua winga, mgeni njoo mwenyeji apone, mwaka huu mvua hakuna shambani kwetu huku mazao yamegoma.
[emoji23][emoji1787]