Mkuu wewe ndo unatakiwa kutafuta wazo bora kabisa la biashara, wazo bora linatoka kwako mkuu, Ni wewe unaye jua mazingira ya hapo ulipo, ni wewe unaye jua jamii yako inapungukiwa na nini? au kwa miaka ijao itapungukiwa au itahitaji huduma fulani,
Wazo hutokana na Mazingira uliopo, na kinyume na hapo unatafuta shida,
Na unatakiw akujikitakutatua matatizo yanyo kumba jamii uliopo, mambo ya pesa huwa ni matokeo, na mara nyingi watu hukata tamaa ya biashara kwa sababu wao wliingia na lengo moja tu kutafuta faida, na faida inapo kuwa haijapatikana kwa muda mwafaka mtu huchanganyikiwa,
HIVYO ANGALIA MZINGIRA YA HUKO KANDA YA ZIWA AU AHALI UNAPO KAA NA UTAPATA WAZO BORA KABISA, NA LINATAKIWA KUWA WAZO ENEDELEVU SIO ZIMA MOTO
Wazo la Biashara halihitaji kupiga lamuli,