Nina siku ya nne sijaenda haja kubwa

unakuta mtu anakula chapati asubuhi, mchana ugali, usiku wali na ml 500 za maji kwa siku afu utegemee maajabu ya kupata choo kizembe namna hiyo, me naonaga mtu anaekosaga choo pasi na kuumwa chochote ni uzembe.
mkuu vp hali yako kwa sasa bado ngoma ngumu au??
kula matunda, vegetables na maji mengi na karanga mbichi ukipenda
 
umeziba Waite watu wakuzibue
 
Umri wako ?

Nenda Ocean Road ukafanye kipimo cha fecal occult blood.Huenda una saratani ya utumbo mpana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…