Shuaibu yahaya
Member
- Jan 8, 2014
- 93
- 32
Salaam.
Ndugu wana jf naomba msaada wenu tafadhali, kwa muda usiopungua miaka kama mitano nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara. Nimejaribu kwenda hospital kadhaa lakini nimeambiwa hamna tatizo.
Moja ya dalili zisizo za kawaida nazo zipata ni kama vile,kutopata choo vizuri na mda mwingine huambatana na vitu vyeupe mfano kama mucus, tumbo kujaa gesi na kuuma na kujihisi kwenda msalani lakini unakuta choo hakitoki zaid ya gesi, pia tumbo huuma haswa wakati wa baridi.
NAOMBA MSAADA WENU WAKUU.
Ndugu wana jf naomba msaada wenu tafadhali, kwa muda usiopungua miaka kama mitano nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya tumbo mara kwa mara. Nimejaribu kwenda hospital kadhaa lakini nimeambiwa hamna tatizo.
Moja ya dalili zisizo za kawaida nazo zipata ni kama vile,kutopata choo vizuri na mda mwingine huambatana na vitu vyeupe mfano kama mucus, tumbo kujaa gesi na kuuma na kujihisi kwenda msalani lakini unakuta choo hakitoki zaid ya gesi, pia tumbo huuma haswa wakati wa baridi.
NAOMBA MSAADA WENU WAKUU.