Richard lugusi
Member
- Jan 15, 2015
- 67
- 8
Ndugu wanajamvi naomba kuuliza katka ajira mpya hii hata sisi tuliopata supp tumo kwenye list ya majina mapya je tufanyeje tukaripot na sisi na je hatutakutana na vikwazo hko halmshaur?
Msaada jamani wa kimawazo!
Msaada jamani wa kimawazo!