Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Ndugu zangu mwenye kufahamu namba tofauti na 0 ya huduma kwa wateja halotel anisaidie maana nimepiga hiyo 0 wala haipokelewi tokea saa 9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Holotel ni mtamdao wa kienyeji kama walivyo waganga wa kienyeji...customer care ni zeroNdugu zangu mwenye kufahamu namba tofauti na 0 ya huduma kwa wateja halotel anisaidie maana nimepiga hiyo 0 wala haipokelewi tokea saa 9
Hii hawapokeagi villaza wale iko kama pambo au labla call wameweka music ukipiga wanacheza tu badala ya kupokeaPiga 100