Nina Tatizo la kugairisha mambo/mipango (Procrastination)

Nina Tatizo la kugairisha mambo/mipango (Procrastination)

The desire of winning must be greater than the fear of loosing.

Mimi huwa natumia sheria ya 5S. Ndani ya sekunde tank Natalia kuanzia jambo. Unafanya kwanza alafu ntajifunza baada ya kufanya.
Ndo malikizia hiki kitabu kinachoitwa #5secondsrule, nione kama linaweza kunisaidia
 
Nimegundua nina Hili tatizo la kugairisha mipango yangu ninayopanga baada ya mda flani.

Yaani naweza nikawa na mipango thabiti kabisa juu ya jambo flani ambalo ukiangalia Kwa mda huo nikilifanya linaweza kuniletea faida kubwa saana au kupiga hatua kubwa saana katika maisha ila Kwa bahati mbaya baada ya siku najikuta nafikiria saana na hatimae nagairisha Hilo jambo.

Mfano, nimeshawahi kupanga mipango ya biashara ambayo Kwa wakati huo ilikuwa inahitaji mtaji kama 4,500,000. Nilikuwa sina hata mia mda huo ila nikaweka mipango namna ya kufanya saving ili niipate hiyo ela.

Bahati mzuri baada ya kam miezi 9 nikapata hiyo ela, Cha ajabu akili ikabadilika na kuwaza vitu vya ajabu kwenye hiyo biashara hapohapo nikagairi.

Nikawaza biashara nyingine ambayo inahitaji 5,000,000. Nikasema haina shida ngoja niongezee ikifika nianze.

Baada ya miezi miwili nikapata 5M, Cha ajabu nikagairi kuifanyia kazi hilo wazo.

Nikaacha ela kwenye akaunti, nikaanza kuomba ushauri Kwa watu baadae nikapata wazo la kufanya ila Hilo lilihitaji 7,000,000. Ikanibidi niongeze hiyo ela mpaka ikafika 7M. Cha ajabu akili inaleta vitu vya ajabu kwenye hiyo biashara.

Mpaka baadae nikagairisha tena. Ikabidi niwaze kuwa huenda Nina shida sio Bure.

Nikaanza kusoma vitabu mbalimbali nikaja kugundua Hilo tatizo lipo na linawakumba baadhi ya watu.

Nikaamua nichukue zile mbinu nilizosoma kwenye vitabu mbalimbali ili kutatua tatizo langu ila Cha ajabu hakuna kinachobadilika.

Kuna wakati nikijaribu kuwaeleza watu juu ya mipango yangu wanasema ni mizuri na wananipa matumain yakuendelea nayo ila Cha ajabu siwezi kuianza.

Kama Kuna mtu analifahamu vyema hili tatizo naomba aniambie kinagaubaga namna gani naweza kuondokana na hili tatizo??

Naona kwangu ni mtahani mkubwa saana, na linaweza kunirudisha nyuma Kwa kiasi kikubwa.

Asante, naombeni msaada wenu tafadhali.

Nahitaji msaada wa haraka niweze kuifanyia kazi malengo yangu.
Mkuu sahv umefikisha sh ngap?
 
Nimegundua nina Hili tatizo la kugairisha mipango yangu ninayopanga baada ya mda flani.

Yaani naweza nikawa na mipango thabiti kabisa juu ya jambo flani ambalo ukiangalia Kwa mda huo nikilifanya linaweza kuniletea faida kubwa saana au kupiga hatua kubwa saana katika maisha ila Kwa bahati mbaya baada ya siku najikuta nafikiria saana na hatimae nagairisha Hilo jambo.

Mfano, nimeshawahi kupanga mipango ya biashara ambayo Kwa wakati huo ilikuwa inahitaji mtaji kama 4,500,000. Nilikuwa sina hata mia mda huo ila nikaweka mipango namna ya kufanya saving ili niipate hiyo ela.

Bahati mzuri baada ya kam miezi 9 nikapata hiyo ela, Cha ajabu akili ikabadilika na kuwaza vitu vya ajabu kwenye hiyo biashara hapohapo nikagairi.

Nikawaza biashara nyingine ambayo inahitaji 5,000,000. Nikasema haina shida ngoja niongezee ikifika nianze.

Baada ya miezi miwili nikapata 5M, Cha ajabu nikagairi kuifanyia kazi hilo wazo.

Nikaacha ela kwenye akaunti, nikaanza kuomba ushauri Kwa watu baadae nikapata wazo la kufanya ila Hilo lilihitaji 7,000,000. Ikanibidi niongeze hiyo ela mpaka ikafika 7M. Cha ajabu akili inaleta vitu vya ajabu kwenye hiyo biashara.

Mpaka baadae nikagairisha tena. Ikabidi niwaze kuwa huenda Nina shida sio Bure.

Nikaanza kusoma vitabu mbalimbali nikaja kugundua Hilo tatizo lipo na linawakumba baadhi ya watu.

Nikaamua nichukue zile mbinu nilizosoma kwenye vitabu mbalimbali ili kutatua tatizo langu ila Cha ajabu hakuna kinachobadilika.

Kuna wakati nikijaribu kuwaeleza watu juu ya mipango yangu wanasema ni mizuri na wananipa matumain yakuendelea nayo ila Cha ajabu siwezi kuianza.

Kama Kuna mtu analifahamu vyema hili tatizo naomba aniambie kinagaubaga namna gani naweza kuondokana na hili tatizo??

Naona kwangu ni mtahani mkubwa saana, na linaweza kunirudisha nyuma Kwa kiasi kikubwa.

Asante, naombeni msaada wenu tafadhali.

Nahitaji msaada wa haraka niweze kuifanyia kazi malengo yangu.


Jitahidi uanze , na malengo madogo kwanza .

Mfano ukiwa Unataka kuanza na biashara ya mil 8 wewe anza na mtaji wa mil 4 kwanza.

Jambo lolote unalotaka kulifanya anza na kidodo kidogo then baadae utapata (Momentum) Kasi ukipata kasi ile tabia itaacha yenyewe.

Then kitu cha pili katika malengo yako usiweke deadline - mfano unataka kununua kiwanja DSM usiseme lazima mwaka huu ninunue endapo hata ikitokea umekwama weka nia hata mwakani utanunua tu .

In short malengo / mipango usiiwekee ukomo (deadline )

Pia usiwaambie watu mipango yako ila jiambie wewe mwenyewe hii ipo psychologically na spiritual .


Mwisho ukiona ndani yako kuna green light ya kufanya jambo , hilo jambo wewe lifanye utafanikiwa .
 
Jitahidi uanze , na malengo madogo kwanza .

Mfano ukiwa Unataka kuanza na biashara ya mil 8 wewe anza na mtaji wa mil 4 kwanza.

Jambo lolote unalotaka kulifanya anza na kidodo kidogo then baadae utapata (Momentum) Kasi ukipata kasi ile tabia itaacha yenyewe.

Then kitu cha pili katika malengo yako usiweke deadline - mfano unataka kununua kiwanja DSM usiseme lazima mwaka huu ninunue endapo hata ikitokea umekwama weka nia hata mwakani utanunua tu .

In short malengo / mipango usiiwekee ukomo (deadline )

Pia usiwaambie watu mipango yako ila jiambie wewe mwenyewe hii ipo psychologically na spiritual .


Mwisho ukiona ndani yako kuna green light ya kufanya jambo , hilo jambo wewe lifanye utafanikiwa .
Nimekuelewa kiongozi,
 
Back
Top Bottom