Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Wewe umeamua kufurahisha baraza tu huna hiyo nilitaka nikusaidie ila hiyo katuni imeonyesha huna shidaHalafu yananuka kupita maelezo View attachment 1998413
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Wanapenda kula biriani na kuku wa kupakwa kwahiyo ndovyakula tunavyokula na kama chakula ni tatizo mbona wao hawajambijambi kama mmInategemea na vyakula unavokula badilisha ila umenichekesha sana
Silali nao nina chumba cha peke angu kama ni vyakula mbona wao hawajambijambi kama mimiMkubwa labda chakula yako kwa sasa inawekewa too much hamira
Nisaidie please hiyo ni picha tu kwa wale wasiojua kusoma wajue namaanisha nnWewe umeamua kufurahisha baraza tu huna hiyo nilitaka nikusaidie ila hiyo katuni imeonyesha huna shida
wewe tumbo lako la kiswahiliWanapenda kula biriani na kuku wa kupakwa kwahiyo ndovyakula tunavyokula na kama chakula ni tatizo mbona wao hawajambijambi kama mm
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Nakuwa hata kukaa na watu naona noma maana kero afu utaona kila mtu anatoa sababu za kuondoka ila mm najua kilichomkimbiza hali hii inafanya mpaka nakosa marafiki[emoji23][emoji23] we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu[emoji23]
Kwani ukiwa unajamba huna lockLoki imekata mkuu kimiuujiza
πππππ wameanza kula utotoni we tumbo halijazoea.na kama chakula ni tatizo mbona wao hawajambijambi kama mm
Sio kweliπππππ wameanza kula utotoni we tumbo halijazoea
Mpwayungu mnakula ugali wa uwele na mlenda, tumbo bado linashangaa aiseeππ
unakunywa soda/bia kwa chupa bila glass? tumia dawa za kutoa gesi kama Magnesium na zingine kaulize famasi
Duh kwahiyo hata huwezi jizuia ukiwa na watu? Ebu kagua linda lako kama liko sawa, halijaadjust kweli? rudishia nati zakeπNakuwa hata kukaa na watu naona noma maana kero afu utaona kila mtu anatoa sababu za kuondoka ila mm najua kilichomkimbiza hali hii inafanya mpaka nakosa marafiki
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Kwanza umeshakosea , kula kwa muhindi ni kukubali kugeuzwa msukule tegemea siku utakuwa hulipwi mshahara we utakuwa unaenda tuu kutumikishwa.. nenda ukaombewe au utambike ila wahindi wameshakuinamishaWanapenda kula biriani na kuku wa kupakwa kwahiyo ndovyakula tunavyokula na kama chakula ni tatizo mbona wao hawajambijambi kama mm
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app