Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeongezeka yenyewe tu??hiyo haiwezekani possibly kaingiliwa bila ridhaa yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Observe the circumference of your anus mkuu..labda imeongezeka kias flan
Ndo nyie mnakula tikitiki maji huku mnakunywa pepsiHabari zenu Wana jf poleni na misukosuko ya maisha. Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani tweti four hours na hili tatizo lilianza tangu nije apa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakat hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao. Asanteni.
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Nisaidie ushauri tafadhariNdo nyie mnakula tikitiki maji huku mnakunywa pepsi
Please tuheshimiane nitawapiga block sasa iviImeongezeka yenyewe tu??hiyo haiwezekani possibly kaingiliwa bila ridhaa yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaka utani sipendeleiPoint of correction sio watu WAZURI
😂😂 we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu😂
Acha upumbavu wako una server ya jamii forum wewe kenge? Endelea kuingiliwa na hao wahindi wako ukileta kitu humu uwe na kifua cha kuhandle majibu yote,unawajambia waajiri wako wanakuvumilia hawajakupiga block eti unatutishia magwiji humuPlease tuheshimiane nitawapiga block sasa ivi
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Ila unapendelea kujamba[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787]
PyuuuKwahiyo ni swii au mbuu?
Nauliza unajamba kwa nguvu au upepo wa kimya kimya?
Khaaaaa.....😂😂 we jamba hata mfululizo tu haina tabu, kwani unavunja sheria mkuu? Piga vitu piga vitu hadi mbu wote wafe, kijambo ni dawa ya mbu😂
Duuuu pole sana. Naweza kujaribu kukusaidiaHabari zenu Wana jf poleni na misukosuko ya maisha. Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani tweti four hours na hili tatizo lilianza tangu nije apa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakat hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao. Asanteni.
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuPunguza ulaji wa protini ya mimea kwa wingi kama vile dengu njegere maharage nk.
Nisaidie ndugu nitumie dawa ganiDuuuu pole sana. Naweza kujaribu kukusaidia
Dawa ya kusafisha tumbo. Inaonekana una uchafu mwingi tumboni. Njoo pm tuzungumze
Mkuu,hili tatizo ulipona?Habari zenu Wana jf poleni na misukosuko ya maisha.
Mimi nina tatizo la kujamba kila baada ya dk mbili yaani twenty four hours na hili tatizo lilianza tangu nije hapa kwa wahindi maana nakaa upanga ni mwanaume nafanya kazi ya kusafisha nyumba na bustani pia.
Sihitaji kejeli naomba kwa Anaejua dawa yake maana inafika wakati hata kukaa na wenzangu naona aibu inakuwa kero kwao.
Asanteni.
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app