Nina tatizo la kutapika nyongo mara kwa mara

Umepewa dawa gan maybe kwa majina?
 
Boss ulipona?

Aisee sijapona sasa hvi naona kama ni sehemu ya maisha yangu maana kila mwez lazima nitoe hiyo nyongo aisee ila nikishaitapika nakua mzima kabisa bado sielew exactly tatizo ni nn maana vipimo ni vingi nmefanya na hakuna tatizo linaloonekana mara naambiwa hormonal imbalances mara naambiwa mwili wangu unazalisja acid nyingi waii nmemwachia Mungu sasa atanipambania tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…