Nina tatizo la kutokulipwa pesa zangu pindi ninapo wakopesha ndugu jamaa na marafiki wa karibu. Imepelekea kuvunja uhusiano wa karibu na hao wakopaji

Nina tatizo la kutokulipwa pesa zangu pindi ninapo wakopesha ndugu jamaa na marafiki wa karibu. Imepelekea kuvunja uhusiano wa karibu na hao wakopaji

chala41

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
300
Reaction score
606
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu wa JamiiForums.

Hii ni post yangu ya kwanza ya mwaka huu wa uchaguzi 2025. Natumai uchaguzi utakuwa na mambo mengi sana tutaona sura mpya nyingi za wabunge pale mjengoni.

Kwenye mada sasa.
Ebhana nimekaa chini na kutafakari nikagundua nimedhulumiwa vihela vyangu kwa namna kama ndio nastuka sasa hivi kuwa mbona kama roho yangu nyepesi sana . Utadhani roho yangu ni ya maua sasa eti

Utakuja mshkaji anakucheki nimekwamba hivi na vile naomba niazime kiasi flani mshahara ukitoka nakutumia chap .unampa ukiamini akipata salary anarudisha ila matokeo yake unaishia kuview status zake tu na mawasiliano yamakufa kifo cha kawaida.

Mifano ni mingi sana mpaka nakuja kupiga mahesabu najiona mpumbavu sana

Kuna shemeji miyeyusho sana huyu alinicheki oyah mwanangu nina mishe yangu moja mbili tatu .ikitiki mwezi tu narudisha 200k chap kwa haraka ila matokeo yake unaenda mwaka wa pili anaona aibu hata kunicheki tena na shida hazijamuisha.

Mwingine huyu mpaka ananishangaza anafanya kazi nzuri lakin alikopa kama mara 2 akarudisha ila ya tatu sana hata namba yangu kafuta na anajiona mjanja kwa 230k tu.

Mwingine huyu miyeyusho 40k mpaka sms zangu hajibu na yupo online kila siku.

Kuna workmate huyu binti 200k na alisema siku 2 tu amebanana lakin mpaka Leo ukimkumbusha anahisi kama unamuonea anataka kuleta pigo za mapemzi basi nafsi inarudi nyuma.

Mwingine huyu kiherehere changu cha roho ya maua.Alikuwa anadaiwa na jamaa alafu jamaa anashida anataka hela yake so akataka ampeleke polisi ili kusolve mambo nikabidi nimpe hela ili mambo yasiwe mengi la haula wala quwata jamaa mpaka Leo anapiga sound ebhana nakumbuka deni lako naomba nipigie kesho saa nne ila ikifika ule mda alio toa ahadi apokei simu. Basi unabaki unashukuru mungu

Na kujiapiza kuwa sisaidia mtu mwingine yeyote mana raia wote wale wale ila baada ya siku kadhaa anakuja mwingine na scenario hizo hizo basi unampa tena ila kulipwa ndio maumivu.

Kwahiyo visa ni vingi mno mpaka sasa mimi na kudhulumiwa na wadau ambao mnajuana A to Z basi tena mtu akija na shida zake na mimi natoa shida zangu tunaziweka kwenye mzani alafu tuone nani wa kusaidiwa.


ILA KIUFUPI NASHINDWA KUDAI ILE KWA NGUVU SANA NA KWA VURUGU ZA KUROSHA
NIMEPUNGUZA WADAU WENGI SANA KWA STYLE YA KUWAKOPESHA ILA KUNA WENGINE NIKAMA NIBARAKA KWANGU HAWAKURUDISHA MANA NIMABINGWA WA VIZINGA KWAHIYO ILE KUSHINDWA KWAO KULIPA WAMEKAA PEMBENI WENYEWE SASA HIVI USUMBUFU SIPATI.

FUNZO
kopesha hela ndogo ambao hata usipolipwa haita kuuma sana.
Nimepoteza watu wa karibu mno kutokana na kutokuwa waaminifu.
Kopesha kwa maandishi na mashahidi pia inasaidia mlipaji kuwa na aibu na kuacha kujisahaulisha.

Deni likikaa zaidi ya mwezi mtu anakuwa mgumu kulipa anahisi kama anakupa hela bure.
 
We unawakopesha wa nini sasa!!?
ACHANA NAOO
 
Watanzania wengi wetu na uaminifu ni kusini na kaskazini.Mtu unatoa ahadi na uwezi kuitimiza .Mafundi sasa nao ni yale yale .Tubadilike wakuu 'uaminifu' ni mtaji .
 
Hii hali ya kuwa wagumu watu kulipa hela ya watu ni kwa Watanzania tu au hata Waafrika wengine wako hivi hivi?
Vp kwa Wachina, Waarabu, Wahindi, Wazungu na watu wa Bara la Amerika ya Kusini nao wakoje wakoje?
 
Kasi ya kupoteza ndugu/marafiki imekua kubwa sana Kwa mambo ya mikopo/vizinga.
Kwa sasa ni battle TU tunashindanisha shida kuona nani akopeshwe😄
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu wa JamiiForums.

Hii ni post yangu ya kwanza ya mwaka huu wa uchaguzi 2025. Natumai uchaguzi utakuwa na mambo mengi sana tutaona sura mpya nyingi za wabunge pale mjengoni.

Kwenye mada sasa.
Ebhana nimekaa chini na kutafakari nikagundua nimedhulumiwa vihela vyangu kwa namna kama ndio nastuka sasa hivi kuwa mbona kama roho yangu nyepesi sana . Utadhani roho yangu ni ya maua sasa eti

Utakuja mshkaji anakucheki nimekwamba hivi na vile naomba niazime kiasi flani mshahara ukitoka nakutumia chap .unampa ukiamini akipata salary anarudisha ila matokeo yake unaishia kuview status zake tu na mawasiliano yamakufa kifo cha kawaida.

Mifano ni mingi sana mpaka nakuja kupiga mahesabu najiona mpumbavu sana

Kuna shemeji miyeyusho sana huyu alinicheki oyah mwanangu nina mishe yangu moja mbili tatu .ikitiki mwezi tu narudisha 200k chap kwa haraka ila matokeo yake unaenda mwaka wa pili anaona aibu hata kunicheki tena na shida hazijamuisha.

Mwingine huyu mpaka ananishangaza anafanya kazi nzuri lakin alikopa kama mara 2 akarudisha ila ya tatu sana hata namba yangu kafuta na anajiona mjanja kwa 230k tu.

Mwingine huyu miyeyusho 40k mpaka sms zangu hajibu na yupo online kila siku.

Kuna workmate huyu binti 200k na alisema siku 2 tu amebanana lakin mpaka Leo ukimkumbusha anahisi kama unamuonea anataka kuleta pigo za mapemzi basi nafsi inarudi nyuma.

Mwingine huyu kiherehere changu cha roho ya maua.Alikuwa anadaiwa na jamaa alafu jamaa anashida anataka hela yake so akataka ampeleke polisi ili kusolve mambo nikabidi nimpe hela ili mambo yasiwe mengi la haula wala quwata jamaa mpaka Leo anapiga sound ebhana nakumbuka deni lako naomba nipigie kesho saa nne ila ikifika ule mda alio toa ahadi apokei simu. Basi unabaki unashukuru mungu

Na kujiapiza kuwa sisaidia mtu mwingine yeyote mana raia wote wale wale ila baada ya siku kadhaa anakuja mwingine na scenario hizo hizo basi unampa tena ila kulipwa ndio maumivu.

Kwahiyo visa ni vingi mno mpaka sasa mimi na kudhulumiwa na wadau ambao mnajuana A to Z basi tena mtu akija na shida zake na mimi natoa shida zangu tunaziweka kwenye mzani alafu tuone nani wa kusaidiwa.


ILA KIUFUPI NASHINDWA KUDAI ILE KWA NGUVU SANA NA KWA VURUGU ZA KUROSHA
NIMEPUNGUZA WADAU WENGI SANA KWA STYLE YA KUWAKOPESHA ILA KUNA WENGINE NIKAMA NIBARAKA KWANGU HAWAKURUDISHA MANA NIMABINGWA WA VIZINGA KWAHIYO ILE KUSHINDWA KWAO KULIPA WAMEKAA PEMBENI WENYEWE SASA HIVI USUMBUFU SIPATI.

FUNZO
kopesha hela ndogo ambao hata usipolipwa haita kuuma sana.
Nimepoteza watu wa karibu mno kutokana na kutokuwa waaminifu.
Kopesha kwa maandishi na mashahidi pia inasaidia mlipaji kuwa na aibu na kuacha kujisahaulisha.

Deni likikaa zaidi ya mwezi mtu anakuwa mgumu kulipa anahisi kama anakupa hela bure.
Usikopeshe mtu hela. Waambie kuwa wewe sio bank..
 
Unanikopa wakati una kiwanja,nyumba,gari,na vi-asset kibao wakati mwenzie najinyima kukuza mitaji.

Bora upoteze rafiki/ndugu na mengine yaendelee
 
Unanikopa wakati una kiwanja,nyumba,gari,na vi-asset kibao wakati mwenzie najinyima kukuza mitaji.

Bora upoteze rafiki/ndugu na mengine yaendelee
(1) Mungu.

(2) Mimi George.

(3) Pesa Yangu.

4,5,6,7,8......hao wengine.

SITAKI MZAHA KATIKA PESA YANGU..
 
Uzuri Benki Kuu wamekataza kukopesha bila leseni. Mwaka huu wakija waambie sina leseni na unawajali sana hivyo wasubiri mpaka upate.
 
Tatizo sio wao
Tatizo wewe
Kwa nini unawakopesha?
Acha kabisa kukopesha hela
 
Unakuta mtu ni rafiki yako kabisa na unacho kumkopesha sio dhambi ila uaminifu ndio umekuwa mtihani
Utafika umechoka sana
Endelea kuwakopesha. They will continue to exploit you

Wewe ndio umesema ni rafiko zako, ila wao hawakuoni kama rafiki wanakuona kilaza. Kama wangekuona rafiki wasingekipotezea maana yake urafiki wako na wao ni kwa chini ya thamani ya hela uliyowakopesha.
 
Nawakopesha Kwa furaha na amani.narudishiwa Kwa fedheha na makelele...
Wananitia doa moyoni hawajui tu.
Wananisukumia mbali hawajui tu
Kuna kesho!
 
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu wa JamiiForums.

Hii ni post yangu ya kwanza ya mwaka huu wa uchaguzi 2025. Natumai uchaguzi utakuwa na mambo mengi sana tutaona sura mpya nyingi za wabunge pale mjengoni.

Kwenye mada sasa.
Ebhana nimekaa chini na kutafakari nikagundua nimedhulumiwa vihela vyangu kwa namna kama ndio nastuka sasa hivi kuwa mbona kama roho yangu nyepesi sana . Utadhani roho yangu ni ya maua sasa eti

Utakuja mshkaji anakucheki nimekwamba hivi na vile naomba niazime kiasi flani mshahara ukitoka nakutumia chap .unampa ukiamini akipata salary anarudisha ila matokeo yake unaishia kuview status zake tu na mawasiliano yamakufa kifo cha kawaida.

Mifano ni mingi sana mpaka nakuja kupiga mahesabu najiona mpumbavu sana

Kuna shemeji miyeyusho sana huyu alinicheki oyah mwanangu nina mishe yangu moja mbili tatu .ikitiki mwezi tu narudisha 200k chap kwa haraka ila matokeo yake unaenda mwaka wa pili anaona aibu hata kunicheki tena na shida hazijamuisha.

Mwingine huyu mpaka ananishangaza anafanya kazi nzuri lakin alikopa kama mara 2 akarudisha ila ya tatu sana hata namba yangu kafuta na anajiona mjanja kwa 230k tu.

Mwingine huyu miyeyusho 40k mpaka sms zangu hajibu na yupo online kila siku.

Kuna workmate huyu binti 200k na alisema siku 2 tu amebanana lakin mpaka Leo ukimkumbusha anahisi kama unamuonea anataka kuleta pigo za mapemzi basi nafsi inarudi nyuma.

Mwingine huyu kiherehere changu cha roho ya maua.Alikuwa anadaiwa na jamaa alafu jamaa anashida anataka hela yake so akataka ampeleke polisi ili kusolve mambo nikabidi nimpe hela ili mambo yasiwe mengi la haula wala quwata jamaa mpaka Leo anapiga sound ebhana nakumbuka deni lako naomba nipigie kesho saa nne ila ikifika ule mda alio toa ahadi apokei simu. Basi unabaki unashukuru mungu

Na kujiapiza kuwa sisaidia mtu mwingine yeyote mana raia wote wale wale ila baada ya siku kadhaa anakuja mwingine na scenario hizo hizo basi unampa tena ila kulipwa ndio maumivu.

Kwahiyo visa ni vingi mno mpaka sasa mimi na kudhulumiwa na wadau ambao mnajuana A to Z basi tena mtu akija na shida zake na mimi natoa shida zangu tunaziweka kwenye mzani alafu tuone nani wa kusaidiwa.


ILA KIUFUPI NASHINDWA KUDAI ILE KWA NGUVU SANA NA KWA VURUGU ZA KUROSHA
NIMEPUNGUZA WADAU WENGI SANA KWA STYLE YA KUWAKOPESHA ILA KUNA WENGINE NIKAMA NIBARAKA KWANGU HAWAKURUDISHA MANA NIMABINGWA WA VIZINGA KWAHIYO ILE KUSHINDWA KWAO KULIPA WAMEKAA PEMBENI WENYEWE SASA HIVI USUMBUFU SIPATI.

FUNZO
kopesha hela ndogo ambao hata usipolipwa haita kuuma sana.
Nimepoteza watu wa karibu mno kutokana na kutokuwa waaminifu.
Kopesha kwa maandishi na mashahidi pia inasaidia mlipaji kuwa na aibu na kuacha kujisahaulisha.

Deni likikaa zaidi ya mwezi mtu anakuwa mgumu kulipa anahisi kama anakupa hela bure.
Utu ushapungua sana kwa binadamu,,Mtu anapokua na tatizo anakua ni mtu mpole sana ila tatizo lake likiisha ashasahau kila kitu, tunaowakopesha ndio wanatufanya tubadilike namna ya kuishi na tuwe hatujali watu, cha msingi hapo ni kuacha kukopesha tu labda mtu umsaidie kama unacho ila sio kumkopesha ,mimi imeniumiza sana hii ya kukopesha watu hawarudishi madeni.
 
Back
Top Bottom