ommymbwambo
Senior Member
- Mar 25, 2014
- 192
- 66
Umeoa au bado unaonjaonja?
Vaa chupi inayobana
haisaidii mkuu zaid ya maumivu
mkuu ungeweka mambo hadharani kusaidia na wengine...
duh...kwani we ni me au ke?....
Shetani wee. Nenda Mombasa
Uwe unapiga nyeto mara kwa mara italala tu
Vaa chupi inayobana
Uambie tu uwe na adabu kwanini usimame bila kufuata taratibu? Yaani wewe umekuwa kama mnyama mmoja anaishi majini anaitwa fisi maji. Huyo mnyama akikutana na samaki, mwamba, magugu kila kitu anafikiri na mke. Na wewe una nguvu kama za fisi maji? Train mwili wako uwe na adabu na kwa kweli unatakiwa uadabishe hicho kiungo chako.