Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

Wanawake wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka sana na wajinga wanaoa
nakazia, nina mfano hai kabisa, kwa sasa analazimika kuolewa kisa tu wanawake wote kwenye circle yake wameshaolewa, anakiri kabisa hampendi muoaji na ana tattoo pia sehemu. huko nyumba ameshawakataa waoaji kadhaa kisa et umri bado na ni pisi kali.
 
Your dirty past will haunt and follow you to your grave. Unavuna ulichopanda. Huo ndo msaada wangu mwanangu.
 
Yaliyopita si ndwele. Opt kuwa single mother utatoboa.
 
Kosa lako ni kumwambia mtasex baada ys ndoa. Jamaa kasubiri kajua mali ni safi halafu anakutana na mali chafu! Huo uliofanya ni kumhujumu mteja yaani umemuuzia mbuzi kwenye gunia, alipofungua kakutana na kituko.
Ukipata mwingine mpe tuu ayazoee hayo makatuni ili akikuoa asikutane na vitu ambavyo hakutegemea.
 
Sasa bila picha ya hayo matacore yenye tattoo utapewaje ushauri ewe malaya mstaafu?
 
Kusema siyo malaya wakati umetembea na wanaume wengi kwenye mahusiano inafikirisha!
Kama kuna uwezekano wa kuondoa hizo tattoo ondoa!
 
Manzi mwenye tattoo kalioni kiukweli anaogopesha..
Nilisikia jamaa mmoja akimuambia mwenzake "demu mwenye tattoo vaa condom mbili au ikibidi mfuko hata wa mkate"
Dah wahuni walinisanuaga
Embu imagine alibinua ma*tako achorwe tattoo li demu la hivyo hata kulia kwa condom nne siwezi kujaribu achilia mbali kuoa, wanapenda kurahisisha sana alafu kuna wanaume wanatufelisha
 
Pole kwa changamoto, nakushauri umuombe Mungu akupe mtu atakayekubaliana na uhalisia wako, Hakuna mkamilifu chini ya jua kila mtu anakosea.
 
Bro mimi nawajua hawa wanawake wa chuo wanaigiza sana maisha na wengi hasa hawa wanaotoka vijijini kuja kusoma huku wengi wanakua malaya wa kutupa hapo anamwambia jamaa haifanyi mpaka aolewe alafu unakuta kuna lijamaa linapewa itakavyo ndio maana bora kuoa bikra tu ambae kalelewa kwenye maadili na familia ya heshima hata kama mahali itakua kubwa kikubwa unakua umepata product Safi kabisa
 
Wewe tapeli tu
1. Mwaka huu upo chuo

2. Hapa wewe ni mwanaume
3. Mwanaume unatembea na malaya na una gari Mazda

 
Wanawake wakiwa kwenye ujana wao ni wapumbavu sana, huwa wanafanya chochote bila kujali matokeo yake, ujana ukiisha ndio majuto kama haya huanza, mwanamke mchora Tattoo ni malaya kwasababu huwezi kuchora tattoo sehemu za siri ukabak salama
 
Huyu mwanamke anaonekana ni tapeli Wanawake kama hawa mara nyingi huwa hawakubali kuzaa watoto wote na mwanaume mmoja hata akiwa ndani ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…