Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

Mazeri kakupiga biti mapemaaaa
Sanaa alikuwa miyeyusho hatari.Kuna siku moja yuko barabarani yeye na rafiki yake halafu wakakutana na kisista duu ,wacha wakipige madongo kwa kilugha kumbe kile kidada duu kinaelewa kinachozungumzwa.Alichoishia kuniambia ni mwanangu leo mimi na mwenzangu tumeaibika huko mtaani.
 
Screenshot_20241216-095815.jpg
Screenshot_20241216-095815.jpg
 
Wakati umambania asikudinye mpaka ndoa, ungemwambia ukweli palepale.
#mwanakulifind
 
Mimi nahangaika au ni wewe ndio unahangaika...kuna cases kibao ulaya tattooed people wanaface unlawful discrimination, sasa hutaki au? Kwanza usinizoee mpumbavu wewe...chukulia unavyochukulia ila mimi uniache kwenye upumbavu wako!!!
Mpumbavu ni mwenyewe,Tunamshauri mtu wa ulaya hapa,amekwambia yeye kasoma ulaya....

Tumia akili sio unaanza visingizio mara nisikuzoee ,unahangaika kama maharage yanayoiva

JF ni jukwaa huru ,tunaelimisha na kutoa dozi tunapoona mnapoteza wenzenu
 
Mpumbavu ni mwenyewe,Tunamshauri mtu wa ulaya hapa,amekwambia yeye kasoma ulaya....

Tumia akili sio unaanza visingizio mara nisikuzoee ,unahangaika kama maharage yanayoiva
Wewe ndio mpumbavu hasaaa,wewe ndie uliniquote baada ya mimi kusema kuna theories hata ulaya watu wenye tattoo wanachukuliwa kama drugs addicts, kuonyesha kwamba kila mahali kuna misjudgement kuhusu watu wenye tattoo kama ilivyojionyesha kwenye hii thread, mnamchukulia ni malaya kisa tattoo mnajua body count yake?!, kwanza usinizoee Fala we,chukulia unavyochukulia,sitakujibu tena mpuuzi we!
 
Wewe ndio mpumbavu hasaaa,wewe ndie uliniquote baada ya mimi kusema kuna theories hata ulaya watu wenye tattoo wanachukuliwa kama drugs addicts, kuonyesha kwamba kila mahali kuna misjudgement kuhusu watu wenye tattoo kama ilivyojionyesha kwenye hii thread, mnamchukulia ni malaya kisa tattoo mnajua body count yake?!, kwanza usinizoee Fala we,chukulia unavyochukulia,sitakujibu tena mpuuzi we!
Ww ni mshamba na mpuuzi kwl kwl,Mazoea yanakujaje unapoelekezwa ukwl nimekutongoza?...Unapotumia lugha za hovyo nazidi kujipa kura ww ni WA hovyo ..

Nimekueleza JF ni jukwaa huru pitia sheria utaelewa vizuri ,ungetaka nisikuquote ungeenda PM...Tattoo sehemu ya siri alafu sio Moja unataka kutuaminisha ni uzushi tu kama ulaya usilete assumption mtu kachora tattoo mkononi na mtu aliechora tattoo sehemu ya Siri ni vitu viwili tofauti tuliza kichwa vizuri uelewe pia kwann watu wengi jukwaani wanapinga ...Tumia akili hapa sio theories
 
Ww ni mshamba na mpuuzi kwl kwl,Mazoea yanakujaje unapoelekezwa ukwl nimekutongoza?...Unapotumia lugha za hovyo nazidi kujipa kura ww ni WA hovyo ..

Nimekueleza JF ni jukwaa huru pitia sheria utaelewa vizuri ,ungetaka nisikuquote ungeenda PM...Tattoo sehemu ya siri alafu sio Moja unataka kutuaminisha ni uzushi tu kama ulaya usilete assumption mtu kachora tattoo mkononi na mtu aliechora tattoo sehemu ya Siri ni vitu viwili tofauti tuliza kichwa vizuri uelewe pia kwann watu wengi jukwaani wanapinga ...Tumia akili hapa sio theories
Kulielewesha jitu empty kazi sana, haya umeshinda kale maharage huko...JF ni jukwaa huru yet unaona tusiweke mifano ya ulaya kisa tunamshsuri mtu wa Tanzania, unajua wewe ni mjinga sana ukiambiwa uleter body count ya huyu dada tuconclude ni malaya najua huwezi kusema, fanya umeshinda kiazi we
 
Kulielewesha jitu empty kazi sana, haya umeshinda kale maharage huko...JF ni jukwaa huru yet unaona tusiweke mifano ya ulaya kisa tunamshsuri mtu wa Tanzania, unajua wewe ni mjinga sana ukiambiwa uleter body count ya huyu dada tuconclude ni malaya najua huwezi kusema, fanya umeshinda kiazi we
Bado unaendelea na upuuz wako ,Body count ni simple tu asipokuwa na bikra nishacount mbona inshu ni simple ,Tofautisha kati ya ukwl na uhalisia ,Kuchora tattoo sehemu za siri kiuhalisia TU lazima Kuna mambo yametokea....Unaruka ruka Bado kama maharage ambayo hayajaiva ww nikikuuliza hao watu wa ulaya uliosoma katika theory unaushahidi gani wa kutuaminisha sio wavuta Bangi au malaya ?
 
Maninaa!! Kama upo mwanza nicheck nikute nakufariji kabla hajazaliwa wa kukukubali jinsi ulivyo😂
 
Bado unaendelea na upuuz wako ,Body count ni simple tu asipokuwa na bikra nishacount mbona inshu ni simple ,Tofautisha kati ya ukwl na uhalisia ,Kuchora tattoo sehemu za siri kiuhalisia TU lazima Kuna mambo yametokea....Unaruka ruka Bado kama maharage ambayo hayajaiva ww nikikuuliza hao watu wa ulaya uliosoma katika theory unabushahidi gani wa kutuaminisha sio wavuta Bangi au malaya ?
Tafuta mwenyewe cases za hao wenye tattoo kuchukuliwa sivyo na kuprove mahakamani, sikuletei sababu mimi sio mtumwa wako,pili najua hata wewe nikikuuliza ulete EEvidence kisayansi ama STATISTICS hata kuprove wanaochora tattoo ni malaya HUTALETA,utabaki kusema kuna mambo yametokea utadhani uliweka CCTV ukawaona, baki na assumptions zako za kipumbavu mpuuzi we, eti asipokuwa bikira ni malaya halafu hapo hapo unasema kutofautisha ukweli na uhalisia, The truth is kamuulize mama yako km aliolewa bikira ama la mpuuzi we, nishaona naongea na jitu Jinga, this time around SITAKUJIBU..this is my last post to you seriously...BYE
 
Haifai,

Ipo siku atakuambia Babe naenda kwa yule kaka aliyenichora tatoo akazifute

Huko kuzifuta sasa 🤣
Hapo sasa. Tattoo ipo karibu na kwa mpalange na k unategemea mchora tattoo aliacha hizo mali..?
 
Wakati niko chuo nilikuwa na rafiki zangu wawili ambao tulikuwa tunaaka chumba kimoja. Ni watu wa kujirusha, na kipindi hicho tulikuwa wazuri sana. Mambo yalikuwa mengi na tulifanya ujinga mwingi. Kuna mambo mengi nilifanya kipindi hicho ambayo mpaka leo najutia, lakini kuna hili moja ambalo linanichanganya mpaka sasa.

Kipindi hicho kuna mwanaume nilikutana naye, huyo akawa anachora tattoo. Hivyo aliponichora tattoo ya kwanza mkononi nikajikuta tumetamani ya kiunoni. Alituchora wote mimi na marafiki zangu. Kama unavyojua kuwa ukishaanza kuchora tattoo unakuwa kama teja, nilichora nyingine mapajani na nyingine akanichora kwenye makalio yote mawili. Kuna nyingine akanichora kwenye kitovu pia. Kipindi hicho sikuona shida kwani mwanaume niliyekuwa naye mbali na kwamba anachora tattoo, lakini yeye kajichora kila sehemu mpaka shingoni. Hivyo ni kitu ambacho wote tulikuwa tunapenda, na nilimwamini kuwa atakuwa mume wangu.

Baada ya kumaliza chuo mimi nilipata kazi Mwanza, ni kazi ya serikalini. Yeye nilimuacha Dar, ila tulikuwa tuna malengo ya kuoana na kila kitu kilikuwa tayari. Wakati niko huku ndipo nilianza kuona kuwa yule mwanaume hakuwa sahihi. Anavuta bangi, anakula unga, na nikifikiria hakuna kitu chochote ningefanya naye kimaisha kwani yeye hela yake ilikuwa inaishia club tu. Kwa bahati nilipata kacheo fulani hivi, kakanifanya kuheshimika zaidi. Hivyo nilipoona kuwa siwezi kutengeneza maisha naye kwani hata kuongozana naye ni shida na matattoo yanaonekana tofauti na yangu yako ndani kwa ndani.

Nilimtafutia sababu tukagombana, na nikalazimika kubadilisha mpaka namba za simu. Na kweli alinipotezea. Namuona tu mtandaoni sasa hivi bado anafanya hiyo kazi, ila ukimuangalia sasa ndipo naona kuwa hakuwa mtu sahihi. Baada ya hapo niliingia kwenye mahusiano na kaka mmoja ambaye tunafanya naye kazi. Mambo yalikuwa vizuri lakini siku ya kwanza tu kukutana naye kimwili nilipomvulia nguo alishutuka. Ilibidi nimwambie kuhusu kuchora tattoo na mambo niliyopitia. Alijifanya kunielewa lakini baada ya miezi miwili alinambia hapana, siwezi kuwa na wewe maana kila nikikuangalia akili yangu namuwaza mwanaume alikuchora matakoni.

Niliumia sana kwani nilishaanza kumpenda. Mahusiano mengine nayo yaliisha hivyo hivyo. Kwa kifupi ni kuwa kila mwanaume nikilala naye ananiona malaya. Nilianza mchakato wa kuziondoa lakini niliyemtafuta akanikosea. Mwisho zikabaki tu. Mwaka juzi niliingia kwenye mahusiano na kaka mmoja alionyesha kunipenda sana kwani yeye ndiye alikuwa ananihangaikia sana.

Kwa kuhofia kuja kuachika nilimwambia siwezi kufanya mapenzi mpaka ndoa, na kweli alinielewa. Akanambia yeye yuko kwangu kwa ajili ya ndoa, na kweli baada ya miezi 6 tu alikuja kwetu kujitambulisha. Mwezi wa 3 mwaka huu tulifunga ndoa, na siku niliyofunga naye ndoa ndiyo ilikuwa siku ya kwanza kwa yeye kuniona nikiwa uchi. Aliponiona tu jinsi nilivyo na matattoo, pozi lote lilimuishia. Alishindwa hata kufanya tendo la ndoa. Akanambia tusubiri tutafanya kesho.

Nilijaribu kumweleza kwanini nilichora hizo tattoo na sasa nimebadilika. Alionyesha kunielewa, lakini tangu kipindi hicho mume wangu ananiangalia kama malaya. Ananiona kama vile nilimdanganya. Amekuwa mtu wa hasira, kiasi kwamba hata kukutana kimwili ni ngumu. Nimejaribu kumpa muda ili azoee hii hali, lakini hataki. Wiki mbili zilizopita akanambia mimi naona utafute mtu ambaye mtaendana. Sijioni nikiwa mume wako.

Mimi naye hatuishi pamoja kwa sababu ya kazi. Hivyo baada ya kunambia hivyo akaniblock, na kila nikimtafuta ananambia tukae tu angalau ndoa ifikie miezi 6 ndiyo nidai talaka, kwani yeye hawezi kuendelea na mimi. Kaka, mimi si malaya ni makosa tu kidogo nilifanya. Najua nina tattoo nyingi na nimchora sehemu za siri, lakini hiyo haimaanishi kuwa mimi ni malaya au nilikuwa na wanaume wengi. Ni ujinga tu wa chuo na sijui nifanye nini?
Kwan shida iko wap si utafute ma tattoo mwenzio? Maana Mungu amesema atakupa wa kufanana naye ,,alaf unaonekana ukiwa chuo ulkua mkubwa ila malaya na mjinga ,,na hata wa Leo unaendelea kua mjinga ,,once a stupid always a stupid
 
Tafuta mwenyewe cases za hao wenye tattoo kuchukuliwa sivyo na kuprove mahakamani, sikuletei sababu mimi sio mtumwa wako,pili najua hata wewe nikikuuliza ulete EEvidence kisayansi ama STATISTICS hata kuprove wanaochora tattoo ni malaya HUTALETA,utabaki kusema kuna mambo yametokea utadhani uliweka CCTV ukawaona, baki na assumptions zako za kipumbavu mpuuzi we, eti asipokuwa bikira ni malaya halafu hapo hapo unasema kutofautisha ukweli na uhalisia, The truth is kamuulize mama yako km aliolewa bikira ama la mpuuzi we, nishaona naongea na jitu Jinga, this time around SITAKUJIBU..this is my last post to you seriously...BYE
We ni mpumbavu nn ,swala la mama yangu limeingiaje hapa ,huna akili kabisa ..Mm naona watafute madaktari wa saikolojia wakusaidie maana una matatizo meng ,Sayansi sio kila kitu watu wanaumwa na vipimo havioneshi ....


Jitathmini Sana maana kwa mtazamo wangu unapigo za kiree wamekufelenga sana kwahio unajitahidi kutafuta namna kujitetea ....JITATHMINI JITATHMINI
 
Back
Top Bottom