akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
We upo wapi?Haina kujieleza sana familia, ni dharura na kwenye mfuko wa shati nina hiyo kumi na gwala tu, kwa heshima na tahadhima familia nawaombeni mnielekeze chimbo ambalo nitapata usafiri wa hela hiyo.
Jioni njema
Buguruni mkuu.We upo wapi?
Buguruni kiongoziWe upo wapi?
Wazo nzr kakaZungumza vizuri na madereva wa malori
Co kiivyo mkuu.Ndio maana P Diddy alipaka watu ufuta. Na angekuwa Bongo angewanyetesha wengi sana.
SGR!?? 😃Hapo maroli ndio mkombozi. Kwani treni bei gani?
Sio mateka.Unafit kwenye buti?
31,000/-Hapo maroli ndio mkombozi. Kwani treni bei gani?
Wanatega pande zp kaka?Zungumza vizuri na madereva wa malori
Kwani ndio hivyo unakwenda Kigoma?Tembelea makaburini mida usiku, utakutana na wachawi, waombe lift kwenye nyungo zao.
Atafika kesho asubuhiNenda ubungo ukapande malori yanayoenda huko
Buguruni sheliWe upo wapi?