sikuwa na mpango wa kuingia humu leo lakini nimevutiwa na kushawishiwa na juhudi zako na wife wako..kwanza labda nikuulize unaishi wapi ili angalau hata mtu akitaka kukushauri kuhusu hiyo miradi mingine labda direction inaweza kusaidia..
pili kwa maelezo yako na msisitizo ulioweka kuwa lazima ifanyike maeneo ya nyumbani, mi nakushauri uendelee na hiyo hiyo baishara ya kuku, wala usiogope wala usitishike na hizo changamoto..
ila nikuullize jambo moja umeshafanya physical survey/search ya soko wewe mwenyewe? achana na media tembelea soko hilo la kuku/mayai na uone mwenyewe, au zungumza na wafugaji wakupe data za ukweli na pia unapokuwa sokoni utajifunza mbinu za kukabiliana na changamoto nyingi, mfano ikibidi unaweza kupunguza bei kidogo ili uatract wateja zaidi ilimradi tu kuhakikisha hakuna hasara..
hii biashara ya kuku ni nzuri we endelea na plan yako, na hongera kwa mafanikio
pili kwa maelezo yako na msisitizo ulioweka kuwa lazima ifanyike maeneo ya nyumbani, mi nakushauri uendelee na hiyo hiyo baishara ya kuku, wala usiogope wala usitishike na hizo changamoto..
ila nikuullize jambo moja umeshafanya physical survey/search ya soko wewe mwenyewe? achana na media tembelea soko hilo la kuku/mayai na uone mwenyewe, au zungumza na wafugaji wakupe data za ukweli na pia unapokuwa sokoni utajifunza mbinu za kukabiliana na changamoto nyingi, mfano ikibidi unaweza kupunguza bei kidogo ili uatract wateja zaidi ilimradi tu kuhakikisha hakuna hasara..
hii biashara ya kuku ni nzuri we endelea na plan yako, na hongera kwa mafanikio