Nina udomo zege pro max, nahitaji ushauri

Nina udomo zege pro max, nahitaji ushauri

Joined
Jan 18, 2025
Posts
11
Reaction score
29
Habari Wana JF hope mko poa. Hakuna kitu kinaumiza hapa duniani Kama unampenda mwanamke na yeye anaonesha kabisa kukuelewa lakini unashindwa kumwambia. Ni mwaka wa tatu toka ni fall in love kwa huyu mtoto ebanaee.

Huwezi amini in all that year nimeshindwa kumwambia kwamba nampenda japo najua anajua kwamba namuhitaji Kama unavyojua ma introvert tongoza yetu ni ya ishara kwahiyo Huwa ni rahisi kueleweka, in short huyu demu anauza duka la nyumbani kwao kwahiyo mi Huwa natumia gia ya kununua baadhi ya vitu ili tu nimuone.

Nahisi hiki chama Cha dronedrake ndio chanzo kikuu
 
Nikikuwaga domo zege hadi nilipofikisha miaka 20, kwa sasa mi ndo kiboko yaoooo.

Take it
#Hakuna mwanamke mjasiri mbele ya mwanaume jasiri , kilichonipa ujasiri ni baada ya kugundua kuwa woga wake ni mara tatu ya woga wangu so nilikuwa najipa dakika tatu za kumzoea kwanza, salam ndefu, kumsifia, kumwambia jinsi gani nimefurahi kuonana nae baada ya hapo na kufunguka (mfunguko wa maana) nasubiri kumsonsomola
 
Habari Wana jf hope mko poa. Hakuna kitu kinaumiza hapa duniani Kama unampenda mwanamke na yeye anaonesha kabisa kukuelewa lakini unashindwa kumwambia. Ni mwaka wa tatu toka ni fall in love kwa huyu mtoto ebanaee.

Huwezi amini in all that year nimeshindwa kumwambia kwamba nampenda japo najua anajua kwamba namuhitaji Kama unavyojua ma introvert tongoza yetu ni ya ishara kwahiyo Huwa ni rahisi kueleweka, in short huyu demu anauza duka la nyumbani kwao kwahiyo mi Huwa natumia gia ya kununua baadhi ya vitu ili tu nimuone. Nahisi hiki chama Cha dronedrake ndio chanzo kikuu
Hongera kamanda mwenzangu hatuchekani.. mie naishiaga KUNUNUA makunyazi, ili kuepusha mambo yasiwe mengi
 
Kweli maisha yana mambo mengi,umesema huwa unatumia ishara sana,sasa si utumie hizo ishara?

Expert wangu unaniangusha sana,sometime hauhitaji kujipanga kwa maneno sana ya kujieleza,unachohitaji ni neno moja tu lenye uzito wa tani moja ambalo litablow her mind then mengine yatafuatia

maneno kama siwezi kukaa mda mrefu bila kukuwaza, pale nikuanapo tu hujawa na furaha sana
kwakuwa unasema anauza duka mwambie huwa najisikia kuja tu hapa dukani hata kama sina cha kununua ili mradi nikuone

kitachofuatia hapo ni mazungumzo ambayo yatajiseti yenyewe

ila kama ukishindwa kabisa kula nyeto mpaka mgongo upinde
 
Back
Top Bottom