Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Msikilizie anakuja ila anaweza tumia miaka 5 kufika huko pmmimi ni caring extrovert
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msikilizie anakuja ila anaweza tumia miaka 5 kufika huko pmmimi ni caring extrovert
Atafka nmechakazwa na wajuviMsikilizie anakuja ila anaweza tumia miaka 5 kufika huko pm
Si umependa mwenyewAtafka nmechakazwa na wajuvi
Yeees uchoyo sijuagi mie,,si ata weye nilikupea ukakimbiaSi umependa mwenyew
Nikakimbilia wapiYeees uchoyo sijuagi mie,,si ata weye nilikupea ukakimbia
ngoja nisiseme yote wakafaidiNikakimbilia wapi
si umeamua, saaaafingoja nisiseme yote wakafaidi
👏🏾si umeamua, saaaafi
✊✌
Dah😂Mwaka wa tatu kama ni degree angekuwa kashahitimu.
Mshauri pacha wako anazinguaDah😂
Domo zege wengi huishia kutongoza wauza madukaHabari Wana jf hope mko poa. Hakuna kitu kinaumiza hapa duniani Kama unampenda mwanamke na yeye anaonesha kabisa kukuelewa lakini unashindwa kumwambia. Ni mwaka wa tatu toka ni fall in love kwa huyu mtoto ebanaee.
Huwezi amini in all that year nimeshindwa kumwambia kwamba nampenda japo najua anajua kwamba namuhitaji Kama unavyojua ma introvert tongoza yetu ni ya ishara kwahiyo Huwa ni rahisi kueleweka, in short huyu demu anauza duka la nyumbani kwao kwahiyo mi Huwa natumia gia ya kununua baadhi ya vitu ili tu nimuone. Nahisi hiki chama Cha dronedrake ndio chanzo kikuu
😂 dadekiHaya mpe hi huyu pacha wako
View attachment 3206894
Mwaka wa tatu Bado haujamaliza certificate na diplomaHabari Wana jf hope mko poa. Hakuna kitu kinaumiza hapa duniani Kama unampenda mwanamke na yeye anaonesha kabisa kukuelewa lakini unashindwa kumwambia. Ni mwaka wa tatu toka ni fall in love kwa huyu mtoto ebanaee.
Huwezi amini in all that year nimeshindwa kumwambia kwamba nampenda japo najua anajua kwamba namuhitaji Kama unavyojua ma introvert tongoza yetu ni ya ishara kwahiyo Huwa ni rahisi kueleweka, in short huyu demu anauza duka la nyumbani kwao kwahiyo mi Huwa natumia gia ya kununua baadhi ya vitu ili tu nimuone. Nahisi hiki chama Cha dronedrake ndio chanzo kikuu
Aah kwakweli.Mwaka wa tatu kama ni degree angekuwa kashahitimu. Kama ni mtoto angeshaanza na kutumwa dukani.
Kabisa yaani!Tiyari kashahitimu course kabsa😅