Nina udomo zege pro max, nahitaji ushauri

Domo zege wengi huishia kutongoza wauza maduka
 
Mwaka wa tatu Bado haujamaliza certificate na diploma
 
Hakuna udomo zege ni vitu vya kinadharia tu, vitu kama vya aibu ni vitu vya kawaida sana kwa wanadamu achana na imani hizo potofu, hakuna mwanadamu asie na aibu mimi sijaona kwahiyo kama umempenda mdada wa watu angalia mbinu ya kufikisha ujumbe inaweza kutegemea na mazingira yenu mliopo, najua hii haiwezi kukushinda angalia namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…