Nina ugonjwa wa kusahau na uume kuwa legelege

Nina ugonjwa wa kusahau na uume kuwa legelege

Uume kulegea acha nyeto muone Huyo atakusaidia uuume Kulegea
1474824031445.png
 
Una tatizo la kisaikolojia kwa ujumla hasa la kusahau,na uume kulegea sio tatizo bali unasahau tu kuwa tayari ulishasimama na umemaliza mechi.Muone daktari wa magonjwa ya akili atakusaidia mara moja.
[emoji1] [emoji1]
Duh! Si kwakusahau uko[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu;
Wengi wamekushauri na wengine kubeza. Nakuambia hivi, weye tatizo lako ni kimawazo zaidi. Kuna kitu ulipoteza ghafla, ulikithamini sana kitu hicho ukakipoteza ghafla. Yaweza kuwa ni mpenzi au hata biashara ulitapeliwa. Sasa, unapowaza habari ya ile pesa unajikuta umezidisha.
Uhitaji na mambo ya ngono havielewani. Hata kama ulikuwa unapiga 5 mfulizo utashangaa goli moja linakuwa kazi kulipata.
Dawa:
Kula vizuri vyakula vya wanga, suuzia kwa chai/kahawa. Pata nafasi ya kupumzika. Pata mwanamke asiyesumbua mara nipe za chakula, mara za saloon mara za kitchen party.
Pata mama anayekujali na kukuhurumia. Asiyetaka makuu. Pia asiye mrembo saana, usije twangiwa machoni pako. Taratiib utarudi kwenye form na hii ni baada ya kuacha kufikiri usilo liweza.
Tuambie matokeo.
Ushauri mzuri sana dokta ni wa kipekee
 
Kama ulianza na Punyenye malizia na punyenye maana hizi K hutoziweza ni kazi kuliko hata kubeba zege
 
Habari zenu wakuu nilikua naomba madokta wa humu ndani mnisaidie kwenye haya matatizo mawili

Moja:na tatizo la kusahau sahau kwahiyo nilikuwa naomba mwenye kujua mwenye dawa naomba anisaidie.

Pili:ume wangu umekuwa legelege nashidwa kupiga mechi vizuri so nilikuwa naomba mwenye tiba naomba msaada


-Shukran
sukar yako ni ngapi
 
Habari zenu wakuu nilikua naomba madokta wa humu ndani mnisaidie kwenye haya matatizo mawili

Moja:na tatizo la kusahau sahau kwahiyo nilikuwa naomba mwenye kujua mwenye dawa naomba anisaidie.

Pili:ume wangu umekuwa legelege nashidwa kupiga mechi vizuri so nilikuwa naomba mwenye tiba naomba msaada


-Shukran
Sahau punyeto tafuta dem uishi naye ukitaka unajisevia,na bado ujitahidi maana hata kama una mke unaweza kumuacha kitandani ukapiga punyeto!na kuacha punyeto bora sigara ila ili uache be bize na ukiona umebanwa jikaze hadi kwa shemegi ukapige bao!
 
Samahani mkuu, unaonaje kama misaada yako ukaweka hadharani ili nasi tusaidie wengine.
Anakwambia toa laki 5 mpaka 8 kuna jamaa alimtafuta kupitia blog yake kwa tatizo kama lako akampa hiyo bei mpaka nilicheka..na Mungu alivyo mwema jamaa sahv kapona..alikuwa anatumia asali,mdalasini na kunywa maji mengi pamoja na mazoezi , achana na hawa matapeli anakwambia nitafute private akupige...ngoja niongee na jamaa anipe screen shot za huyu MziziMkavu na yeye utaona mwenyewe..
 
Piga tiz la mchangani
Kula vyakuka kama Dona

Maharage. Supu ya samaki na chapat

mbaazi choroko

Mchicha matembele

Kula sana Bamia

Penda kula matunda

Usipende kunywa chai

kunywa supu ya samaki na chapat angalau ufike 6 0 7 zikipungua sana 5

Tafuta mwanamke m1 asipende kuluka luka

tafuna sana korosho kalanga

Kama ni mnywaji wa pombe acha ika penda kunywa

Konyagi na Dompo Mix iyo kitu bia acha kabisa

Waiter zungusha tena...[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]
 
Anakwambia toa laki 5 mpaka 8 kuna jamaa alimtafuta kupitia blog yake kwa tatizo kama lako akampa hiyo bei mpaka nilicheka..na Mungu alivyo mwema jamaa sahv kapona..alikuwa anatumia asali,mdalasini na kunywa maji mengi pamoja na mazoezi , achana na hawa matapeli anakwambia nitafute private akupige...ngoja niongee na jamaa anipe screen shot za huyu MziziMkavu na yeye utaona mwenyewe..

Bakulutu;
Hao wanaokudanganya si umejipeleka mwenyewe?? Umpe laki 5 mpaka 8 kisa kutafuta uwezo wa kugegeda?? Yeye ndiye atakuwa mahali pako pa kujaribia hiyo dawa?? Mambo mengine mbona tunajitakia wenyewe?? Mganga wa kweli hukupa dawa mpaka upone ndio ukamlipa. Sasa huyu, hata uwanja wa kujaribia kupiga renji hakuna, sasa ntajuaje ka bunduki yangu inafyatuka?? Akupe uwanja wa renji kwisha.
 
Bakulutu;
Hao wanaokudanganya si umejipeleka mwenyewe?? Umpe laki 5 mpaka 8 kisa kutafuta uwezo wa kugegeda?? Yeye ndiye atakuwa mahali pako pa kujaribia hiyo dawa?? Mambo mengine mbona tunajitakia wenyewe?? Mganga wa kweli hukupa dawa mpaka upone ndio ukamlipa. Sasa huyu, hata uwanja wa kujaribia kupiga renji hakuna, sasa ntajuaje ka bunduki yangu inafyatuka?? Akupe uwanja wa renji kwisha.
Mkuu umenikumbusha, ni kweli kabisa jamaa alimwambia nipe nikipona nikulipe najamaa kakaata..dhahiri mganga wa kweli akupe dawa ukipona lipa au ukianza kuona changes za mafanikio umlipe..
Unapewa viagra na mavi ya mbuzi kwisha habari yako..
 
Mkuu umenikumbusha, ni kweli kabisa jamaa alimwambia nipe nikipona nikulipe najamaa kakaata..dhahiri mganga wa kweli akupe dawa ukipona lipa au ukianza kuona changes za mafanikio umlipe..
Unapewa viagra na mavi ya mbuzi kwisha habari yako..

Kama ninaijua dawa, naijua pia ya kuiharibu dawa. Ntakupa ikifika nusu nakuamuru unilipe, ukikataa nakuharibu kabisa
 
mimi nyeto nimepiga sana takribani kama miaka mi5 hivi.,namshukuru MUNGU kwa sasa namaliza miezi m5 sijapiga nyeto,,ila miezi miwili baada ya kuacha nilipata demu kiukweli sikufanya vizuri, uume ulilegea huo sio mchezo, baada ya kufanya vibaya hiyo mechi sijawahi kusex tena mpaka leo.,labda niulize hivi ni muda gani uume unaweza kurudi katika ubora wake mara baada ya kuacha punyeto?
 
Kama ninaijua dawa, naijua pia ya kuiharibu dawa. Ntakupa ikifika nusu nakuamuru unilipe, ukikataa nakuharibu kabisa
Haa..haaa hii sasa ndio mikwara mbuzi kabiiisa kwa hiyo dawa yako ni yakishirikina sio?
 
Haa..haaa hii sasa ndio mikwara mbuzi kabiiisa kwa hiyo dawa yako ni yakishirikina sio?

Mwenye ugonjwa haulizi dawa yatoka wapi ila anahitaji kupona tu. Nimeona watu na hishima zao wakivua nguo bila hofu mbele ya mganga na kubong'oa ili apewe dawa.
 
Habari zenu wakuu nilikua naomba madokta wa humu ndani mnisaidie kwenye haya matatizo mawili

Moja:na tatizo la kusahau sahau kwahiyo nilikuwa naomba mwenye kujua mwenye dawa naomba anisaidie.

Pili:ume wangu umekuwa legelege nashidwa kupiga mechi vizuri so nilikuwa naomba mwenye tiba naomba msaada


-Shukran
Pole mkuu
Kuhusu uume kuwa lege si ugonjwa bali ni kuwa unakuwa na either stress /msongo wa mawazo au kutokula chakula ukatosheka kwa maana unakua hujickii ladha ya chakula..lakin pili kitaalam zaid ni kuwa ni transition period ya mwanaume ambayo pia husaidia kuzalisha mbegu.
 
Back
Top Bottom