Nina uhakika Makonda atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru

Nina uhakika Makonda atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru

Course Coordinator

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2019
Posts
1,742
Reaction score
3,224
Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.

Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.

Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.

Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .

1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu

Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
IMG_20200821_095351.jpg
IMG_20200821_095346.jpg
 
Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
 
Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.

Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.

Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.

Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .

1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu

Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
View attachment 1543749View attachment 1543750
 

Attachments

  • VID-20200721-WA0020.mp4
    1.1 MB
Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Mali za kafara na uchawi
Mali za dhuruma na uonevu
Mali za kuhoodhi kwa Yusuf Manji
 
Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Naunga mkono kauli ya kutoendekeza sana kumshutumu jamaa kwa kukatwa maana hatujui nyuma ya pazia kuna nini. Watu wanaweza ishia kuaibika wao pale atapopewa wadhifa mkubwa zaidi. Kwenye siasa kila kitu ni maigizo.
ila kuhusiana na kutokuweza kurudi alipotoka usiweke guarantee sana. Nyuma ya kila alichonacho muhimili mkuu ilikuwa ni hiyo kofia ya Uheshimiwa. Bila ya hiyo ni mtu wa kawaida kabisa. Na kwa mujibu wa sifa kuu aliyonayo ya kuwa ameghushi vyeti si jambo la ajabu akashindwa endeleza alivyovianzisha. Kama vipo alivyonavyo ilikuwa sababu ni muheshimiwa. Bila ya uheshimiwa vingine vyote havipo.
 
Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
walifilisika kina Mobutu
 
Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.

Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.

Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.

Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .

1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu

Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
View attachment 1543749View attachment 1543750
huyu mwamba kazingua sana kwa mwenendo wake kipindi chake madarakani na alipocheza karata mbaya ni kuacha ukuu wa mkoa

angetulia na istoshe angekua na hekima kwenye uongozi wake hakika huyu mwamba angefika mbali sanaaaa

tatizo lake ni mropokaji na istoshe yeye alijiona sana yupo juu ya wengine

amepata alichokipanda
 
Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.

Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.

Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.

Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .

1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu

Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
View attachment 1543749View attachment 1543750
Hili ni Zao la Kikwete
 
Back
Top Bottom