Jamaa una wivu mbaya kiasi kwamba hisia zako au tetesi za mitaani unazichukulia kama ndiyo uhalisia.Mali za kafara na uchawi
Mali za dhuruma na uonevu
Mali za kuhoodhi kwa Yusuf Manji
yaah ni kweli na istoshe ningekua ndo mimi nisingeendelea tena na siasa ningebaki mwanachama na kupiga biashara zanguMwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Ulinzi wa polisi,TISS au JWTZ thubutu kamanda gani afanye iyo kazi labda walinzi wa G4S,SGA au GARD WARLDA....Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Nao ni walinzi mkuu, anakodi body guard wenye mafunzo kukoka Lebanon!Ulinzi wa polisi,TISS au JWTZ thubutu kamanda gani afanye iyo kazi labda walinzi wa G4S,SGA au GARD WARLDA....
Nao ni walinzi mkuu, anakodi body guard wenye mafunzo kukoka Lebanon!
Hii Lebanon iliyolipuliwa na Mbolea?Nao ni walinzi mkuu, anakodi body guard wenye mafunzo kukoka Lebanon!
tuseme inshallahYani atafirisika na kuwa fukara hamtoa amini....ngoja 2023 ifike atakuwa choka mbaya na atafutika kwny ramani ya siasa na umarufu tutamsahau kabisa....
Ile barua ya Pompeo imewafanya wajifikirie mara mbili mbili. Drone zilikuwa zinasetiwa kutoka Military force iliyoko Ethiopia hapa karibu.Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.
Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.
Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.
Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .
1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu
Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
View attachment 1543749View attachment 1543750
Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Anandaliwa uteuzi mnono. Kuweni na maneno machache kwa sasa.huyu mwamba kazingua sana kwa mwenendo wake kipindi chake madarakani na alipocheza karata mbaya ni kuacha ukuu wa mkoa
angetulia na istoshe angekua na hekima kwenye uongozi wake hakika huyu mwamba angefika mbali sanaaaa
tatizo lake ni mropokaji na istoshe yeye alijiona sana yupo juu ya wengine
amepata alichokipanda
Janjajanja Primary School Imefaurisha Wanafunzi Wote Lakini Hawajui Kusoma Na Kuandikajamaa shule yake ipoje kwani yani ana elimu gani
Mkuu alimpiga mzee walioba?Hii laana ya kumpiga mzee warioba itamgarimu maisha yake yote.
Gwajima Nani yeye badala ya kumuabudu Aliwaumba mnamuabudu kiumbe mwenzenu ati kamfuta kwenye uso wa siasa, Paulo kajifuta mwenyewe Kwa kiburi chakeGwajima alimfuta kwenye uso wa siasa na asikubalike mpaka atakapomuomba msamaha au arudi shule.
Wachache wanaojitambua kama weweMwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Si Mnajua jamaa ameliwa tena kichwa. Alijiaminisha mchakato wa juzi atapita kwa vile mentor alisema "unaweza ukawa wa kwanza nikakukata vile vile". Mbeleko ilienda kwa watu baadhi ila kwake nyota haijasoma tunguli za kolomije hazijasoma anategemea huruma ya mwenyekiti wake ampe uteuzi CCM huko huko au serikali nani ajuaye.
Bashiru hampendi jamaa mara kadhaa amemsema sema faragha na hadharani.
Polepole nae amemsema sema faraghani na hadharani. Jamaa ana uroho wa madaraka zaidi anatumia cheo chake vibaya.
Kete yake kubwa ilikuwa kwa mwenyekiti wanec wamemkatalia mwenyekiti kwa huyo.
Nina uhakika jamaa atakuwa amefuta namba ya Polepole na Bashiru .
1.Mimi ninakula raha kuliko mtu yyt duniani.
2.Ukiniletea za kuleta nitakufukuza kwenye mkoa wangu
3.Usiwe mchawi kama Zitto Kabwe
4.Wachaga hawana roho ya kusaidia hata walemavu
Makonda ni wakati wako wa kufungua kanisa, karibu mimbarani ukatubu madhambi yako ya siri yenye sumu kuliko UKIMWI.
View attachment 1543749View attachment 1543750
Nasema Bashite kilichombeba ni Cheo bhasiii Kwa ubayaa aliofanyia watu hakuna Mtu mwenye maisha na connection zake atampenda yule jamaa.. Hao GSM wamepigwaa zengwee mpka bhasiii leo hii hana Cheo atamtishia nani sasa??? CLOUDS sababu alikuwa na cheo ndo maana wakawa wanamlamba miguu ...Kuna shehee juzi kati alimkataa Jamaa hadharanii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani kiukweli mtu pekee tz anaeweza kumbeba Bashite ni JPM amini nakwambiaa leo hii JPM akamsusa kabisaa aiseee jamaa ataishi maisha ya tabu sana hata kama kuna vihela alikusanya akiwa hana michongo Itaishaa tuu tena mapema sanaa maana kwa sasa atakuwa hana Favour yoyote ya serikalii hawezo kosa ela ya kulaa ila hawezi ishi maisha ya luxury.Mwanaume wa jf na wivu dhidi ya mwanaume mwenzao mh! Labda ni mimi tu ninayeamini kuw alipofika kiuchumi huyu dogo hawezi kurudi kuwa kama sisi tunaoshinda mitandaoni kumkebehi! Kitakachopungua kwake ni kofia ya kuitwa mheshimiwa ila fedha, ulinzi, dili za kibiashara ataendelea kuwa juu tu!
Kuna raia mmoja wa Dar aliniambia hampendi Makonda nikamsikiliza akasema sema alipomaliza nikamwambia hebu niambie wewe kama wewe Makonda kakufanya nini? Katulia aksema kamkamta Manji nikamuuliza wewe na Manji mnajuana? Una uswahiba naye? Ati hatujuani na sina uswahiba naye, sasa wapo wengi ukiwauliza Makonda kawakosea nini hawana jibu, ni chukia za kuiga na kusikia zikichanyika na wivuJamaa una wivu mbaya kiasi kwamba hisia zako au tetesi za mitaani unazichukulia kama ndiyo uhalisia.
Hizo zote ulizoandika hapo ni tuhuma tu.
Makonda hakuwa kati ya wanasiasa ninao wakubali lakini nakushangaa mtu unakuwa na chuki nae kama mnagombania shamba au nyumba!!
Yule ameshapata mtaji na network ya biashara hawezi kufanana nawe kamwe, wewe utabaki na furaha yako ya muda na hali yako kiuchumi kwa muda mrefu.