Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Wewe unamjua Mungu
 
Solution ni moja tuu ACHANA NA MKE WA MTU period. Karma itakukuta siku usiodhania.

Kama ni mtu wa sala hebu muombe Mungu akusaidie ujinasue na utubu lasivo hayo mahusiano yatakutesa hadi mwisho. Mungu anasemehe na anaweza kukutoa huko ila ni wewe kuamua tu.

Kila la kheri.
 
Ikiwa unashindwa kumwacha nunua kabisa Dildo la uume na KY jelly ili utatue marinda mwenyewe kwa utaratibu siku jamaa akija kukufumania aingie free bila kukuumiza.
 
Inaumiza sana, ht huyo mwanamke nae dah. Yaan siku ya harusi kbs kaenda kuonana na mchepuko!!!
 
Duniani hapa pana mengi sana..
Wakat ww unammegea dogo ujue fika kuna boya anakumegea yaan ule mda unaokuwa na mke Wa mwenzio ndio mda huohuo mkeo anageuzwa, tena mbaya zaidi usikute anamzibua mtalo....
Hili neno la kila aangamizae kwa upanga ataangamia kwa upanga usilichukulie poa..

Pia kauli ya kusema malipo hapahapa duniani izingatie sana ...
Tambua ya kwamba kiwango hichohicho na kipimo hichohicho unachogawa kwa mwenzio ndicho utakachopimiwa ... Nakutakia umegaji mwema
 
Pole sana aisee, mke wa mtu ni sumu... siku wa kwako akiibwa na akamegwa utajua uchungu wake....

ANZA VISA VIDOGO VIDOGO...PUNGUZA NAE MAWASILIANO HUENDA IKASAIDIA...MDANGANYE SIKU MOJA MOJA ASIWE ANAKUFUATILIA SANA
Mkuu hii ngoma ni nzito sana aisee,yalishanikuta kama Haya,mapenz na mke wa mtu ni matam asikwambie mtu
 
Si
Toa ushauri tu kwa sababu kinachokupa ujasiri wa kuleta dharau ni hiyo I'd fake. Kuwa tu muungwana.
Sidhani kama unajua maana ya UUNGWANA, unachofanya hakina chembe ya uzuri wowote, umekubali tamaa ya mwili ikushinde na sasa inakuletea kujuta, ila still unaweza jinasua kwenye huo mtego

Pia huyo unayemwita dogo anakuacha uwe kwenye comfortable zote uendelee kujisahau ila matokeo yake ni mabaya. Acha kutafuta mwisho m-baya.
 
Kwahiyo mkuu unahisi umemzoea huyo binti na kumpenda hivyo kuliko mke wako wa ndoa?
Au mkeo ana shida gani mpaka uone kuwa kumuacha huyo binti ni kitu kisichowezekana?.
 
Hizi kauli za mtu kujifanya mtakatifu kwakweli ntazipinga kwa muda wote..wewe unaongea kwa sababu mm ndo nimeamua kusema mapungufu yangu halafu na ww unarudia yaleyale kunionyesha ubaya. Hivi mm ni wa kwanza kufanya kitu km hiki!?? Unajua km mfalme wa Daud wa kwenye biblia alichepuka na mke wa mtu na akamuua mumewe!?? Msiongee vitu kwa kujifanya nyinyi ni watakatifu.

Huwezi kuanza kujifanya ww eti ni muungwana baada ya mtu kusema mapungufu yake. Mfalme suleimani ambaye ndo inaaminika kuwa ndo binadamu aliyekuwa na hekima kuliko watu wote Duniani alikuwa na wake halali 700 na alikuwa na michepuko 300. Mm nimekuja kutafuta mawazo mapya,ili niweze kujitoa. Halafu inawezekana umecomment kwa kusoma kichwa cha habari tu...unajua km huyo mwanamke alikuwa dem wangu miaka 2 nyuma kabla hajaolewa!?? Jaribu kupima hilo na mm nimeeleza tu ubaya wa jambo hili ili nipate ushauri. Lkn unajua mambo mazuri niliyofanya naye kwa kipindi chote nilichokuwa naye!?? Elewa sisi tulikuwa wapenzi nikisema hivyo nadhani unaelewa namaanisha nn! Jikite kunishauri usinionyeshe ubaya wala adhabu nnayostahili hayo yote nayajua ndo maana nataka ushauri hapa.
 
Mimi siku hizi nashindwa kutofautisha vitu viwili,mwanamke mwenye ajira na aliyeolewa,mwanamke aliyeolewa na ana biashara zake ndo wadangaji wa kutupwa kuliko wadangaji wenyewe.
Mungu atusamehe sana tunaposherehekea hii Pasaka.
Naomba niishie hapa.
 
Siku utakapokuja kupigwa mtungo huku ikichomolewa na kukunyonyesha, mpaka iwe safi,utamwacha tu.
 
Kwahiyo mkuu unahisi umemzoea huyo binti na kumpenda hivyo kuliko mke wako wa ndoa?
Au mkeo ana shida gani mpaka uone kuwa kumuacha huyo binti ni kitu kisichowezekana?.
Mkuu umesoma vizuri kweli bandiko langu au umesoma kichwa tu cha habari!?? Ugumu haupo kwangu,ugumu zaidi upo kwa dada mwenyewe. Yy ndo hataki hili lifanyike. Yeye yupo tayari atoke kule kwa mwanaume arudi kwao. Yaani anasema km hiyo ndoa itakuwa kikwazo yy anaivunja. Na hv tunavyoongea yupo kwao,maana mm tangu jana asbh sikuwa napokea simu zake,mchana mama yake akanipigia,nikapokea akaniambia niende huko, nikamwambia nipo na familia tunajiandaa kwenda kanisani.

Kwa hiyo nikamuahidi ntaenda leo kuwasikiliza...na nikaongea na huyo dada kupitia simu ya mama yake. Mkuu mama mwenyewe alishasema,hataki kumuona mwanae akiwa na maumivu,yeye mwenyewe mama yupo tayari mwanaye aachike. .mwaka jana mwezi wa 10 nilipata dharula ya kwenda mkoani,aisee dem aling'ang'ana kwenda na mm hadi akawa anatishia kunywa sumu. Mama akanisihi sana niende naye. Mama akasema yeye ndo atajua cha kumwambia Mme wake. Nilisafiri naye kweli. Dem tangu siku tunasafiri akazima simu,akawa anatumia simu yangu kuwasiliana na watu wake muhimu akiwemo mama. Lkn jamaa alikatiwa mawasiliano mpka tuliporudi na tulikaa siku 16. Mkuu mm siyo mjinga sana,kuna vitu nakumbana navyo ndo maana nataka mawazo mbadala!!
 
Vaa uhusika wa huyo jamaa alafu uone maumivu yake, hadi anamwambia mkewe akuombe uchomoe ili aongee naye sio jambo dogo.

Ameumia na anaumia sana kwa unayomfanyia, kuwa na huruma kwa familia za wenzako. Utampa taabu mwanaye kipindi mke na mume wakiachana kwasababu yako.

Najua uliogopa kubeba mzigo wa kuoa mke wa pili na ukawa unamtumia mwanamke kama mtumwa wa mapenzi, sasa ameolewa bado unamtumia vibaya ilihali yupo kwa mumewe.

amini usiamini kwenye biblia maandiko yanasema

Mathayo 7:12 Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.

Unachofanya sasa kitakurudia hata kwa kizazi chako, mkeo amejua unayoyafanya tegemea kupatwa na kubwa kuliko hili unalofanya sasa.


Katika maisha yako Ogopa sana kumnyanyasa mnyonge na unajua unamnyanyasa iwe kwa makusudi au bahati mbaya na bado ukaendelea kumnyanyasa.

Tafadhali kuwa na huruma nawe utahurumiwa,acha kumchezea mke wa mtu tena kwa dharau hadi mzazi wa mwanamke anajua. Unakosea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…