Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Embu chukulia wewe kama mke wako angekuwa analiwa na mtu mwingine ungejisikiaje. Ndio maana Mimi mke wa MTU sitakagi kabisa wengi wamejirahisisha kwangu na kuahidi kunipa mambo Ila nikikumbuka Ishu hiyo nafsi inanisuta na wala sitaki Kula mke wa mtu . Kibaya chochote unachofamfanyia mwenzio geuza kibao kama ingekuwa unafanyiwa wewe uyafeel maumivu Kwanza.
Wewe unamjua Mungu
 
Mkuu nadhani kinachokufanya unione wa ajabu ni tofauti zetu za namna ya kufikiri na kuamua. Kwanza sijachukia kuambiwa ukweli,lkn kunishambulia kunisaidia nn!?? Kinachokupa nguvu ya kunisema ni kwa sababu mimi ndo nimeweka wazi kosa langu. Sasa kuna haja gani ya kuniambia tena kuhusu kosa lilelile ambalo mm ndo nalijutia!?? Kwa nn usinipe suluhisho tu la moja kwa moja!?? Mm nimeleta hapa kupata mawazo mapya siyo!?? Sasa kuanza kuni-attack kwa kitu ambacho me ndo nimekitengeneza kunanisaidia nn!?? Me nataka msaada wa kutoka siyo kunielezea kuhusu ubaya wa hilo tukio. Hicho ndo nakataa,na nna kataa kwa sababu naamini hakuna mtakatifu. Hakuna ushauri niliopingana nao,na ntachukua hatua. Hv nnavyoandika hapa,yy mwenyewe nimemtumia link asome na anapiga simu hapa sipokei kwa sababu me bado nipo nyumbani. Ntaongea naye nikifika kwao. Yupo kwao kwa mama yake tangu jana,ndo nataka nikaongee nao pamoja na mama...!! Nna member wa hapa na ni jinsia ya kike namsubiri anakuja tunaenda naye huko. Huyu member tunafahamiana na tunaheshimiana sana nje ya keyboard. Alijua labda nimeleta chai,lkn ameona umuhimu na kaniambia atakuja leo aongee na huyo dada,now yupo njiani namsubiri afike tupate chai twende huko. Ndo hivyo mkuu sichukii ushauri,lkn kuniambia kuhusu huo ubaya ni kupoteza muda kwa sababu me pia najua nafanya vibaya na athari zake nazifahamu ndo maana nataka msaada wa kutoka.
Solution ni moja tuu ACHANA NA MKE WA MTU period. Karma itakukuta siku usiodhania.

Kama ni mtu wa sala hebu muombe Mungu akusaidie ujinasue na utubu lasivo hayo mahusiano yatakutesa hadi mwisho. Mungu anasemehe na anaweza kukutoa huko ila ni wewe kuamua tu.

Kila la kheri.
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Ikiwa unashindwa kumwacha nunua kabisa Dildo la uume na KY jelly ili utatue marinda mwenyewe kwa utaratibu siku jamaa akija kukufumania aingie free bila kukuumiza.
 
Dah, mpaka mumewe anaandika sms hiyo , dhambi sana wakuu ndoa bado changa sana unaisambaratisha, siku ya ndoa unatembea nae, dah dah dah dah dah dah dunia hii,
Ushauri wangu: mkuu we ni mwanaume na unajua madhara na hatari ya mfanyacho, kuwa na msimamo mwache huyo mwanamke maana ni hatari kwako na kwake, bora utafute mwingine asiye mke wa mtu ufanye lakini sio kwa huyo. Maisha haya tunapita tu mkuu kuna hukumu inakuja baada ya haya maisha lazima uangalie roho yako waipeleka wapi
Inaumiza sana, ht huyo mwanamke nae dah. Yaan siku ya harusi kbs kaenda kuonana na mchepuko!!!
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Duniani hapa pana mengi sana..
Wakat ww unammegea dogo ujue fika kuna boya anakumegea yaan ule mda unaokuwa na mke Wa mwenzio ndio mda huohuo mkeo anageuzwa, tena mbaya zaidi usikute anamzibua mtalo....
Hili neno la kila aangamizae kwa upanga ataangamia kwa upanga usilichukulie poa..

Pia kauli ya kusema malipo hapahapa duniani izingatie sana ...
Tambua ya kwamba kiwango hichohicho na kipimo hichohicho unachogawa kwa mwenzio ndicho utakachopimiwa ... Nakutakia umegaji mwema
 
Pole sana aisee, mke wa mtu ni sumu... siku wa kwako akiibwa na akamegwa utajua uchungu wake....

ANZA VISA VIDOGO VIDOGO...PUNGUZA NAE MAWASILIANO HUENDA IKASAIDIA...MDANGANYE SIKU MOJA MOJA ASIWE ANAKUFUATILIA SANA
Mkuu hii ngoma ni nzito sana aisee,yalishanikuta kama Haya,mapenz na mke wa mtu ni matam asikwambie mtu
 
Si
Toa ushauri tu kwa sababu kinachokupa ujasiri wa kuleta dharau ni hiyo I'd fake. Kuwa tu muungwana.
Sidhani kama unajua maana ya UUNGWANA, unachofanya hakina chembe ya uzuri wowote, umekubali tamaa ya mwili ikushinde na sasa inakuletea kujuta, ila still unaweza jinasua kwenye huo mtego

Pia huyo unayemwita dogo anakuacha uwe kwenye comfortable zote uendelee kujisahau ila matokeo yake ni mabaya. Acha kutafuta mwisho m-baya.
 
Kwahiyo mkuu unahisi umemzoea huyo binti na kumpenda hivyo kuliko mke wako wa ndoa?
Au mkeo ana shida gani mpaka uone kuwa kumuacha huyo binti ni kitu kisichowezekana?.
 
Si

Sidhani kama unajua maana ya UUNGWANA, unachofanya hakina chembe ya uzuri wowote, umekubali tamaa ya mwili ikushinde na sasa inakuletea kujuta, ila still unaweza jinasua kwenye huo mtego

Ila pia wewe na huyo msichana mmekutana watu wenye tabia zinazofanana sana, mnafanya UHUNI kwa kisingizio cha mapenzi, huyo unayemwita dogo anakuacha uwe kwenye comfortable zote uendelee kujisahau ila matokeo yake ni mabaya. Acha kutafuta mwisho m-baya.
Hizi kauli za mtu kujifanya mtakatifu kwakweli ntazipinga kwa muda wote..wewe unaongea kwa sababu mm ndo nimeamua kusema mapungufu yangu halafu na ww unarudia yaleyale kunionyesha ubaya. Hivi mm ni wa kwanza kufanya kitu km hiki!?? Unajua km mfalme wa Daud wa kwenye biblia alichepuka na mke wa mtu na akamuua mumewe!?? Msiongee vitu kwa kujifanya nyinyi ni watakatifu.

Huwezi kuanza kujifanya ww eti ni muungwana baada ya mtu kusema mapungufu yake. Mfalme suleimani ambaye ndo inaaminika kuwa ndo binadamu aliyekuwa na hekima kuliko watu wote Duniani alikuwa na wake halali 700 na alikuwa na michepuko 300. Mm nimekuja kutafuta mawazo mapya,ili niweze kujitoa. Halafu inawezekana umecomment kwa kusoma kichwa cha habari tu...unajua km huyo mwanamke alikuwa dem wangu miaka 2 nyuma kabla hajaolewa!?? Jaribu kupima hilo na mm nimeeleza tu ubaya wa jambo hili ili nipate ushauri. Lkn unajua mambo mazuri niliyofanya naye kwa kipindi chote nilichokuwa naye!?? Elewa sisi tulikuwa wapenzi nikisema hivyo nadhani unaelewa namaanisha nn! Jikite kunishauri usinionyeshe ubaya wala adhabu nnayostahili hayo yote nayajua ndo maana nataka ushauri hapa.
 
Mimi siku hizi nashindwa kutofautisha vitu viwili,mwanamke mwenye ajira na aliyeolewa,mwanamke aliyeolewa na ana biashara zake ndo wadangaji wa kutupwa kuliko wadangaji wenyewe.
Mungu atusamehe sana tunaposherehekea hii Pasaka.
Naomba niishie hapa.
 
Siku utakapokuja kupigwa mtungo huku ikichomolewa na kukunyonyesha, mpaka iwe safi,utamwacha tu.
 
Kwahiyo mkuu unahisi umemzoea huyo binti na kumpenda hivyo kuliko mke wako wa ndoa?
Au mkeo ana shida gani mpaka uone kuwa kumuacha huyo binti ni kitu kisichowezekana?.
Mkuu umesoma vizuri kweli bandiko langu au umesoma kichwa tu cha habari!?? Ugumu haupo kwangu,ugumu zaidi upo kwa dada mwenyewe. Yy ndo hataki hili lifanyike. Yeye yupo tayari atoke kule kwa mwanaume arudi kwao. Yaani anasema km hiyo ndoa itakuwa kikwazo yy anaivunja. Na hv tunavyoongea yupo kwao,maana mm tangu jana asbh sikuwa napokea simu zake,mchana mama yake akanipigia,nikapokea akaniambia niende huko, nikamwambia nipo na familia tunajiandaa kwenda kanisani.

Kwa hiyo nikamuahidi ntaenda leo kuwasikiliza...na nikaongea na huyo dada kupitia simu ya mama yake. Mkuu mama mwenyewe alishasema,hataki kumuona mwanae akiwa na maumivu,yeye mwenyewe mama yupo tayari mwanaye aachike. .mwaka jana mwezi wa 10 nilipata dharula ya kwenda mkoani,aisee dem aling'ang'ana kwenda na mm hadi akawa anatishia kunywa sumu. Mama akanisihi sana niende naye. Mama akasema yeye ndo atajua cha kumwambia Mme wake. Nilisafiri naye kweli. Dem tangu siku tunasafiri akazima simu,akawa anatumia simu yangu kuwasiliana na watu wake muhimu akiwemo mama. Lkn jamaa alikatiwa mawasiliano mpka tuliporudi na tulikaa siku 16. Mkuu mm siyo mjinga sana,kuna vitu nakumbana navyo ndo maana nataka mawazo mbadala!!
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Vaa uhusika wa huyo jamaa alafu uone maumivu yake, hadi anamwambia mkewe akuombe uchomoe ili aongee naye sio jambo dogo.

Ameumia na anaumia sana kwa unayomfanyia, kuwa na huruma kwa familia za wenzako. Utampa taabu mwanaye kipindi mke na mume wakiachana kwasababu yako.

Najua uliogopa kubeba mzigo wa kuoa mke wa pili na ukawa unamtumia mwanamke kama mtumwa wa mapenzi, sasa ameolewa bado unamtumia vibaya ilihali yupo kwa mumewe.

amini usiamini kwenye biblia maandiko yanasema

Mathayo 7:12 Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.

Unachofanya sasa kitakurudia hata kwa kizazi chako, mkeo amejua unayoyafanya tegemea kupatwa na kubwa kuliko hili unalofanya sasa.


Katika maisha yako Ogopa sana kumnyanyasa mnyonge na unajua unamnyanyasa iwe kwa makusudi au bahati mbaya na bado ukaendelea kumnyanyasa.

Tafadhali kuwa na huruma nawe utahurumiwa,acha kumchezea mke wa mtu tena kwa dharau hadi mzazi wa mwanamke anajua. Unakosea sana
 
Back
Top Bottom