Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Hiyo ndo laana ya kuvunja kiapo cha ndoa....! Hapo usipoangalia lazima ndoa moja ivunjike utaamua mwenyewe.......

Si unajifanya una huruma sana unashindwa kumuacha,ngoja uachwe wewe na mkeo na hicho ndicho kinachofuata...
Naomba itokee mke wa mtoa mada ajue tuone kama atashindwa kumuacha huyo mchepuko.
 
Kwanza kitendo cha kusema haya ni hTua 1 nzur ya kuweza kumuacha...!mlie bati uwezavyo...!atachoka atatulia kwa mumewe...!
 
Mfuate mme wake umwambie unamgongea mke wake na unashindwa kumuacha
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya Ijumaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nina hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015 akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndio nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea kama ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta nipo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu na mimi wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndio akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,kama nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa Jumamosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema wewe tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya Jumamosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jumatano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana.

Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.

Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa kama mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mumewe ukimwambia njoo,hata kama alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi.

Mfano juzi hakuenda kazini,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae demu alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini.

Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password.

Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha maana hata mke wangu alishahisi kama natembea naye.

Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.

Ungelitwambia unachomfanya huyo binti wa watu ata afikie kuwa mtumwa wa kingono kwako. Humli biriani dada wa watu lakini?
 
Ungelitwambia unachomfanya huyo binti wa watu ata afikie kuwa mtumwa wa kingono kwako. Humli biriani dada wa watu lakini?
Tatizo mnaangalia Jambo moja tu,watu mkishakuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu kuna vitu vingi mnafanya si ngono tu. Kwenye maelezo yangu nimeeleza vizuri tu,nipo na huyu dada miaka 3 na nilikuwa naye zaidi ya miaka 2 kabla hajaolewa. Hebu jaribu kuwa reality mkuu,mtu ambaye upo naye kwenye uhusiano kwa miaka 3 siyo Jambo dogo ingawa mm sikuwa na mpango wa kumuoa.

Lkn ni wazi nimefanya naye vitu vingi,nimemsomesha chuo,nikamsaidia kupata kazi,nilimfungulia biashara na kiukweli kabisa tulikuwa tunapendana wala sifichi ktk hili. Pamoja na kwamba ni mchepuko lkn nilikuwa nampenda. Kwa sababu hata ktk yale niliyomfanyia hajaniangusha,amemudu kusimamia biashara vizuri,na anaendelea na kazi. Lkn tangu ameolewa pamoja na kuendelea naye,lkn sina Amani na uhusiano wetu nimekuwa mnyonge ktk hili. Na nimeshajaribu kuchukua hatua mara nyingi lkn ndo km hivyo inashindikana. Hapa tupo kwao kwa mama yake,na bahati nzuri nipo na member wa hapa jamvini,km atajisikia kuwapa mrejesho atawaambia ugumu wa hii issue.

Hv tunavyoongea,kwa msimamo wangu niliouonyesha demu hataki tena kurudi kwa yule mwanaume. Anasema hii ndoa itamletea mkosi,amesema me km naamua kumuacha na yy kuanzia ss hv anasubiri talaka. Nna rafiki yangu wa kike na ni member wa hapa,yy mwenyewe amejitahidi kadri awezavyo lkn dem hataki. Sisi tumetoka hapo kwa sasa,maana mwanaume kapigiwa simu mbele yetu na alichoambiwa lazima atakuwa anakuja ukweni.
 
Mara nyingi huwa nawaza hili: ukioa ndiyo matatizo yanaanza sio kuisha!

Tujitahidi kufanya machafu yote kabla ya ndoa ili ukioa uache coz umeoa sasa! Jana limetokea timbwili mtaani single mother mmoja mwalimu wa primary school nasikia kaliwa na bro. Tetesi zilianza kidogo but jana ikawa wazi, single mother anadai hajaliwa, bro ana familia
 
Mama wa mabinti wengi wao huwa support binti zao hasa kama anaona kbs bintiye ana furaha na anachokifanya, mbaya zaidi me uwe na tabia ya kuhudumia aaaah wamama mbona hata nyumbani kwake sometimes anakuandalia mazingira unaenda kuchapa bintiye.

Speaking from experience
Kuna mama Tarime mwezi ulioisha kafa kisa mambo haya haya.
 
Kwakuwa uliyafanya ukiwa unajua huyo binti ni mke wa mtu basi gharama za usaliti huo utalipia hapa hapa duniani wala usitie shaka.
Mungu ni mwaminifu sana aisee kwa ahadi zake, unapata wapi courage ya kutembea na mke wa mtu tena siku ya ndoa na siku chache baada ya ndoa yao??
Halafu haluna mwanaume rijal na mwenye akili timamu anaweza tembea na mke wa mtu, ni udhaifu mkubwa sana kwa mwanaume wa umri wako kutembea na mke wa mtu kwa kisingizio eti hataki tuachane...
Wewe ni mwanaume unatoa amri moja tu kwisha habari, sasa binti mdogo anakudhibiti usijue cha kufanya??
 
Sasa si aondoke umuoe wewe ambaye unampa furaha,mama yake kamuoza kwa mwanaume mwingine wakati anajua furaha ya binti yake iko kwako. Ama kweli akili ni nywele..kila mtu ana zake.na wengine walinena sikio la kufa halisikii dawa.
Mkuu sifanyi utani hapa ukweli kabisa hiii hali inanisumbua sana...kweli kabisa natamani kumuacha huyu dada,shida iliyopo kwanza ni mazoea,kumbuka ameolewa nikiwa naye. Ujue tuna mazoea yale ya ndani kabisa,masikhara upendo hata km wa kitapeli lkn ndo maisha yetu. So kuna wakati namkazia lkn anaondoka kwa mumewe anaenda kwa mama yake. Na huko mama atanisumbua balaa! Mama huyo ndo mtoto wake wa pekee! Huwa hapendi kabisa kumuona mwanaye akiwa hana furaha. Na nna heshimiana sana na mama...na ukimwambia issue ya kumuacha anakuambia bora yeye aondoke kwa mwanaume.
 
Mfosi kukutana nae kuwa kwa mipango.... Sure? Kukutana nae ndio tatizo.yan anatakiwa aachane nae akae mbali sana nae.
Wanakulaumu tu ila nakuelewa sana nafasi uliopo.

Sasa sikia mi mdogo ako ila acha ufala.

Mfosi kufuta sms.

Mfosi kupokea simu.

Mfosi alale.

Mfosi ampikie mumewe.

Mfosi kukutana kuwe kwa mipango.

Mfosi vitu vingi ambavyo vitamfanya atimize majukumu kama mke wa mshkaji.

Ni namna pekee utamsaidia jamaa kama kweli unamuonea huruma.
 
Back
Top Bottom