Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Ilinikutaga nami hiyo hiyo tena Mke wa rafiki yangu kabisa akanigongea mlango 00:00 hrs nimfungulie, bado sijakaa sawa kuchungulia ni nani nikijaribu kumfungulia ghafla tu aliingia haraka haraka hadi kitandani kwangu, kibaya zaidi alivaa kanga 1 tu laini iliyoonyesha chupi nyeupe na sidiria nyeupe huku chuchu saa 6.

Nilijigeukia ukutani nikikomaa kutomgonga lkn alinisumbua sana usiku kucha akitaka nimtafune akinikumbatia, mara aniwekee miguu yake juu yangu yani nilihangaika sana kufikia alfajiri nikiwa nimedindisha mashine usiku kucha.

Nilimshukuru sana Mungu kunipa hekima kutom****ba yule Ke maana rafiki yake alikuwa mlevi na wakati mwingine alale nnje daaah...!

Aisee kama kweli safi sana Wagumu sikuzote wanadumu
 
muosha huoshwa
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya Ijumaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nina hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015 akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndio nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea kama ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta nipo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu na mimi wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndio akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,kama nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa Jumamosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema wewe tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya Jumamosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jumatano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana.

Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.

Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa kama mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mumewe ukimwambia njoo,hata kama alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi.

Mfano juzi hakuenda kazini,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae demu alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini.

Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password.

Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha maana hata mke wangu alishahisi kama natembea naye.

Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
 
Hapo mwanamke pia nae Ni tatizo na huyo mama pia.

Kwanini wakubali aolewe na mwanaume mwngne kumbe hawampendi???

Hivi mfano ungekuwa ww ndo unafanyiwa hivo ungejiskiaje??





Tatizo
TUNAOA WAPENZI WAWATU
 
Hapo mwanamke pia nae Ni tatizo na huyo mama pia.

Kwanini wakubali aolewe na mwanaume mwngne kumbe hawampendi???

Hivi mfano ungekuwa ww ndo unafanyiwa hivo ungejiskiaje??





Tatizo
TUNAOA WAPENZI WAWATU

Jamaaa atakuwa kifedha yuko vizuri kuliko uyo anaemuita Dogo, alafu mara nyingi sana hao wenye tabia hizo za Mama huyo ni wazaramo yalinikuta miaka Mimi Lakini nashukuru life goes on
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya Ijumaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nina hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015 akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndio nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea kama ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta nipo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu na mimi wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndio akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,kama nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa Jumamosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema wewe tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya Jumamosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jumatano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana.

Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.

Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa kama mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mumewe ukimwambia njoo,hata kama alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi.

Mfano juzi hakuenda kazini,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae demu alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini.

Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password.

Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha maana hata mke wangu alishahisi kama natembea naye.

Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Lenye mwanzo lazima lina mwisho wake
Na hakuna marefu yasiyo na ncha
Omba tu mwisho wake usiwe wa aibu mpaka ukataman kujiua!!!
Alafu mke wako ni mbaya kiasi hicho mpaka unafanya mapenzi na mke wa watu anayeolewa siku ya harusi, kwanza umemdharau sana mkeo,
Aisee mi nakwombea kabisa mwisho wako uwe mbaya sana, tena wa aibu kubwa ili iwe fundisho kwa sis wanaume
 
Yaani mpaka MTU anatuma msg na kusema mwambie achomoe kwanza upokee simu kwanza jua kabisa,alijua mko pamoja na kukukamata its a just of time bado anakulia timing tu ila,ashajua mwizi wake ..acha kutafuta sababu eti unamuhurumia kumuacha utafikiri umezaliwa nae ..muhurumie mwenzio muachie Mke wake tafadhali nakuomba..ebu acha hiyo tabia ni mbaya sana na siku ukifumaniwa utashangaa na roho yako...
 
Nashukuru mkuu kwa Maoni yako..nataka baadae nimtumie hii link aone jinsi hili suala linavyonipa shida. Kwa sababu hv tunavyoongea,hayupo kwake yupo kwa mama yake kwa sababu tu sijapoke simu zake tangu asbh. Nimeongea na mama mchana ananiita huko nikamwambia me leo nipo nyumbani na familia na tunaenda kanisani ndo maana hata simu sijapokea. Nikajitetea tu hivyo kwa mama yake. Na mama akampa simu nimsalimie. Yaani ni mtihani kweli mkuu!!
Ushauri wowote utakaopewa hata ufanyia kazi maana maandiko yako yanajidhihiri kuwa hujawa tayari kumuacha huyu mchepuko.
Mfano mdogo Mamake binti anakupigia simu kukutafuta huitaji kujitetea Bali kumueleza ukweli kuwa wewe sasa hivi hauko na bintiye. Na waache kukutafuta kwani wewe una familia yako. Kwani huwezi badili namba za simu??!!
 
Mungu amfanyie wepesi mkeo, na awapatie kila dhila la hii Dunia wewe na huyo hayawani mwenzio Aaaamin.
 
Eheee sasa hilo lijanaume lilitakiwa lioe na huyo binti .....sasa tuanze na sisi
Huyu Kaka ana uthubutu wa ajabu sana. Yaani siku ya harusi kalala jirani na kwa Bi harusi ili ale mzigo alfajiri.
Hapa kuna shida kubwa zaidi ya tunavyo Iona.
 
Ushauri wowote utakaopewa hata ufanyia kazi maana maandiko yako yanajidhihiri kuwa hujawa tayari kumuacha huyu mchepuko.
Mfano mdogo Mamake binti anakupigia simu kukutafuta huitaji kujitetea Bali kumueleza ukweli kuwa wewe sasa hivi hauko na bintiye. Na waache kukutafuta kwani wewe una familia yako. Kwani huwezi badili namba za simu??!!
Me nashukuru kwa Ushauri,suala la mm kuchukua hatua au kutochukua hilo niachie mm. Kwa sababu hata hivyo hapa nimepata options nyingi sana na mm nna kichwa kimoja tu,so kwa vyovyote siwezi kufanyia kazi kila ushauri. Lkn mm kuja kujieleza hapa siyo kwamba sina akili kabisaa,nna akili zangu na mm ndo najua madhira na raha nnazopata. Wale wanaohukumu me ndo wanashangaa wao,kwa sababu wanahukumu kutokana na dhambi niliyoisema me mwenyewe. Yaani mtu badala ukae utafakari kwa nn huyu jamaa kasema yote haya!?? Unaanza kuni-attack wakati hicho kinachokufanya unilaumu nimekiweka wazi mwenyewe,na huwezi kusema natafuta sifa hapa wakati hakuna anayenifahamu!!

Nilikuwa na uwezo wa kuandika vingine,lkn kwa sababu mm ndo naelewa,nikaona niandike dhambi zote mbaya nilizofanya naye ili watu wapate namna nzuri ya kushauri lkn mtu badala akushauri anaanza kukuhukumu,mkeo naye anageuzwa,mara hukumu ni hapa hapa! So what!?? Siwezi kubadili number za simu mkuu,kwa sababu simu yangu haipo kwa ajili hiyo tu.
 
Huyu Kaka ana uthubutu wa ajabu sana. Yaani siku ya harusi kalala jirani na kwa Bi harusi ili ale mzigo alfajiri.
Hapa kuna shida kubwa zaidi ya tunavyo Iona.
Itakuwa Huyo dem anampa vitu visivyo kawaida.
 
Kijana mwenzangu..ukitaka kuoa mke usiangaike sana kumchunguza mwanamke wako Bali mchunguze mama yake maana asilimia kubwa ya tabia za akina mama ndio tabia za watoto wao
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya Ijumaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nina hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015 akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndio nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea kama ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta nipo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu na mimi wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndio akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,kama nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa Jumamosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema wewe tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya Jumamosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jumatano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana.

Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.

Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa kama mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mumewe ukimwambia njoo,hata kama alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi.

Mfano juzi hakuenda kazini,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae demu alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini.

Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password.

Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha maana hata mke wangu alishahisi kama natembea naye.

Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
story ya kweli
nilikuwa na rafiki yangu japo sio kivilee.alinizidi umri kwa sana ila mambo ya maji/ bia ulevi yalitufanya tuwe kama rika moja. jamaa alichelewa kuoa sana. alioa binti mdogo mzuri. alikuwa ana kawaida ya kumfuata tunapokunywa na kumfokea sana. nikampenda/ kuvutiwa nae kwa ule mwanya na sauti yake. akanipa namba nikamtafuta nikamla. analia mwanzo mwisho penzi likakolea. jamaa alikuja kujua akawa anatembea na kisu ili aniue. haikuwa hivyo ila alikuja kunikuta nae ilikuwa jambo baya sana maishani mwangu
ACHANA NA MKE WA MTU NI HATARI SANA
 
DAWA YA KUACHANA NA MKE WA MTU NI MPAKA SIKU UFUMANIWE,UPIGWE MAPANGA YA KWENYE DUSHELELE LAKO KAMA 7 HIVI,NDIPO UTAKAPOAMINI MKE WA MTU SUMU,AMKA BRAZA,USIPIME KINA CHA BAHARI KWA MGUU
 
Back
Top Bottom