jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 485
- 482
Bro hii ni hatari! Unajua si halali kwako na ujue kabisa kuna watu watakuwa wameshamwambia mumewe sababu hakuna mahusiano ya namna hii yanayodumu kwa siri kwa muda mrefu!
Huyo mama mtu ameshamharibu mwanaye na Huyo binti hana maadili kabisa, asije siku akakuletea aibu ukashangaa!
Najua kwa nini inakushinda kutoka huko, kwanza nguvu ya uharibifu imewameza Wote wawili na kwa sababu hamna haki nguvu hiyo inawamiliki na mwisho wake ni mbaya kuliko unavyotegemea! Kama umeamua kweli kumuacha lazima uwe na sababu za msingi sana zinazoendana na maadili ya ndoa na si kwa sababu eti unamhurumia mumewe.
Kuna mambo mengi nayaona lkn ujue umetumbukia kwenye shimo, kuna impact kubwa sana nyuma ya jambo hili huenda hata usijue. Nadhani bwana Mshana akichangia hapa anaweza kukupa kwa haraka zaidi madhara ya ndani, sababu haya ya nje kila mtu anayajua nawe mwenyewe unayajua ndo maana unataka kutoka
Huyo mama mtu ameshamharibu mwanaye na Huyo binti hana maadili kabisa, asije siku akakuletea aibu ukashangaa!
Najua kwa nini inakushinda kutoka huko, kwanza nguvu ya uharibifu imewameza Wote wawili na kwa sababu hamna haki nguvu hiyo inawamiliki na mwisho wake ni mbaya kuliko unavyotegemea! Kama umeamua kweli kumuacha lazima uwe na sababu za msingi sana zinazoendana na maadili ya ndoa na si kwa sababu eti unamhurumia mumewe.
Kuna mambo mengi nayaona lkn ujue umetumbukia kwenye shimo, kuna impact kubwa sana nyuma ya jambo hili huenda hata usijue. Nadhani bwana Mshana akichangia hapa anaweza kukupa kwa haraka zaidi madhara ya ndani, sababu haya ya nje kila mtu anayajua nawe mwenyewe unayajua ndo maana unataka kutoka
Mkuu sifanyi utani hapa ukweli kabisa hiii hali inanisumbua sana...kweli kabisa natamani kumuacha huyu dada,shida iliyopo kwanza ni mazoea,kumbuka ameolewa nikiwa naye. Ujue tuna mazoea yale ya ndani kabisa,masikhara upendo hata km wa kitapeli lkn ndo maisha yetu. So kuna wakati namkazia lkn anaondoka kwa mumewe anaenda kwa mama yake. Na huko mama atanisumbua balaa! Mama huyo ndo mtoto wake wa pekee! Huwa hapendi kabisa kumuona mwanaye akiwa hana furaha. Na nna heshimiana sana na mama...na ukimwambia issue ya kumuacha anakuambia bora yeye aondoke kwa mwanaume.