Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Ukweli huu
tapatalk_1539802049564.jpeg
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe. Alishaolewa akaachwa, ana bahati ya kuolewa tena anachezea shilingi chooni. Je wewe kwa nini usimuoe tu?
 
Mkuu hivyo vitu nimefanya sana,lkn ujue anapafahamu ofisini kwangu,lkn yeye anasema na siyo yeye tu,hata mama yake anasema km tatizo ni huyo mwanaume yy yupo tayari kuondoka. Mkuu ktk kutafuta jinsi ya kumuacha huyo dada,nilishawahi tena mwezi uliopita tu,nilichukua laini tofauti na zangu,nikajifanya me ni rafiki yake na huyo mwanaume lkn sitaki anijue. Nikamtumia SMS kumwambia kuwa kuna jamaa anatembea na mke wake,lengo langu achukue hatua za kumuogopesha. Yaani nilimueleza mpka muda anaopenda kupita. Nilimtumia maelezo mazuri sana..yy akawa ananipigia simu kutaka anijue nikawa sipokei. Cha ajabu jioni alivyorudi nyumbani,akamuonyesha mkewe zile SMS huku akisema kuna mbea anataka kutuchonganisha hapa hebu ona hizi SMS...!! Demu akazipiga screenshot akanitumia halafu akazifuta. Jamaa wala hakutilia maanani!
What goes around comes around jifanye unashindwa tuu cinema utaiona mzee
 
Mkuu hivyo vitu nimefanya sana,lkn ujue anapafahamu ofisini kwangu,lkn yeye anasema na siyo yeye tu,hata mama yake anasema km tatizo ni huyo mwanaume yy yupo tayari kuondoka. Mkuu ktk kutafuta jinsi ya kumuacha huyo dada,nilishawahi tena mwezi uliopita tu,nilichukua laini tofauti na zangu,nikajifanya me ni rafiki yake na huyo mwanaume lkn sitaki anijue. Nikamtumia SMS kumwambia kuwa kuna jamaa anatembea na mke wake,lengo langu achukue hatua za kumuogopesha. Yaani nilimueleza mpka muda anaopenda kupita. Nilimtumia maelezo mazuri sana..yy akawa ananipigia simu kutaka anijue nikawa sipokei. Cha ajabu jioni alivyorudi nyumbani,akamuonyesha mkewe zile SMS huku akisema kuna mbea anataka kutuchonganisha hapa hebu ona hizi SMS...!! Demu akazipiga screenshot akanitumia halafu akazifuta. Jamaa wala hakutilia maanani!
Basi jamaa nalo jinga tu halina maana badala lifuatilie linajiaminisha apambane na hali yake lakin pia na ww jitahid uachane nae uishi na familia yako
 
na wako pia kuna mtu anamlilia hivyohivyo....
 
@heaven sent njoo mama uone new kind of love.

Kati ya upuuzi sitaki kuusikia na siwezi kuuelewa hata uujustfy vipi ni huu wa "all men cheat". Wewe jitetee tu kwa nafasi yako kwa upuuzi unaoufanya usitafute huruma ya watu kwa kuwajumuisha watu kwenye upuuzi wako.
Huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawautaki..wala siyo ww tu..lkn kwenye hali halisi huo ndo ukweli mchungu...!! Laiti km ungejua nnavyoaminika kwa mke wangu,wala usingesema haya. Ndo walivyo wanaume wengi, wanachepuka lkn bado wanaheshimu familia. Mm ni rahisi kunisema kwa sababu nimesema..nimeoa miaka 21 iliyopita.
 
Daaah mi namheshimu sana mke mtu, kwanza hua sina maneno mengi na wake za watu. Ila ipo siku utajaa kwenye 18 za mume wa hilo dem jinga, nakuombea kwa Mungu ukamatwe na wakupasue marinda na ikiwezekana wakuvunje hata mguu na kukuhasi pia. Amen
 
Moja ya Dhambi zenye mwisho Mbaya huwa wazitendao husema natamani kuiacha Ila inashindikana

Jambo moja tu nikwambie ni kwamba Dhambi ya kumzini mke wa MTU haina kifutio wala haina toba Kwa Sisi tunaoamini Mungu katika Kristo.

Maana imeandikwa hata MUNGU hutamtolea Sadaka ya Aina yoyote ikapokelewa mpaka utakapo iweka pembeni na uende ukapatane kwanza na Mdeni wako;

Maana yake ni nini?
Uende Kwa Mme wake huyo dada Umwambie samahani Bwana wewe Mimi nakuja mbele zako upate nisamehe Kwa sababu nimekutenda Dhambi Kwa kukuchukulia mke wako; naye akisha kusamehe ndipo ukatubu Kwa MUNGU

SASA fikiri ni vyepesi namna gani?
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Yaani mkuu unavomhurumia huyo dogo kwa umri wake ujuwe na wewe kuna mtu anakuhurumia hivo hivo kwa umri wako, nafikiri umenielewa.
 
Nashukuru mkuu kwa Maoni yako..nataka baadae nimtumie hii link aone jinsi hili suala linavyonipa shida. Kwa sababu hv tunavyoongea,hayupo kwake yupo kwa mama yake kwa sababu tu sijapoke simu zake tangu asbh. Nimeongea na mama mchana ananiita huko nikamwambia me leo nipo nyumbani na familia na tunaenda kanisani ndo maana hata simu sijapokea. Nikajitetea tu hivyo kwa mama yake. Na mama akampa simu nimsalimie. Yaani ni mtihani kweli mkuu!!
Mmh namuonea huruma sana huyo aliyemuoa
 
Daaaahhh..... !! Nasikia Uchungu sana, Haya mambo wala sio ya kuchekea... " Karma is the B**CH" Utakuja juta..,,
 
Tatizo letu tukielezwa ukweli tunajifanya kukandia ila uongo ndio tunaupigia makofi, nilishajifunza sana hapa jf ukitaka wakupigie makofi sema uongo hapo sawa ila ukieleza ukweli utaambiwa kila aina ya maneno mabaya. Ndio watu tulivyo anyway
Ukweli husemwa daima hata ukichukiwa

Ila kwa hili ni ngumu kwa mawanaume wa umri huo kushindwa kulipa ufumbuzi
 
Moja ya Dhambi zenye mwisho Mbaya huwa wazitendao husema natamani kuiacha Ila inashindikana

Jambo moja tu nikwambie ni kwamba Dhambi ya kumzini mke wa MTU haina kifutio wala haina toba Kwa Sisi tunaoamini Mungu katika Kristo.

Maana imeandikwa hata MUNGU hutamtolea Sadaka ya Aina yoyote ikapokelewa mpaka utakapo iweka pembeni na uende ukapatane kwanza na Mdeni wako;

Maana yake ni nini?
Uende Kwa Mme wake huyo dada Umwambie samahani Bwana wewe Mimi nakuja mbele zako upate nisamehe Kwa sababu nimekutenda Dhambi Kwa kukuchukulia mke wako; naye akisha kusamehe ndipo ukatubu Kwa MUNGU

SASA fikiri ni vyepesi namna gani?
Andiko gani linasema haya mkuu?
 
Back
Top Bottom