Nina ukame tatizo ni domo zege hata barmaid siwezi kutongoza

Nipe namba yake pm kaka please🙏🏽
 
SACO umefanya vizuri kujitangaza humu kijana, kwani wahusika watakufuata kwa pm. Jiandae uwe na nauli ya bodaboda ya kuwaleta na muwarudisha tu, mwenyewe utachoka!!
 
Ulitaka umle makinikia sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…