Nina ukame tatizo ni domo zege hata barmaid siwezi kutongoza

Nina ukame tatizo ni domo zege hata barmaid siwezi kutongoza

Sasa barmaid si unamwambia nina 5000 unasemaje? Umemaliza
 
Nimepata majibu mengi sana
Naomba mnisaidie jamani, nisije baka

Uzi tayari
Screenshot_20200107-062929.jpeg


Jr[emoji769]
 
wakuu kulingana na kuwa na udomo zege uliopitiltilza na hii kupelekea kuwa mwanachama wa chaputa mwenye kadi ya kudumu. kuna jamaa kanishauri niweke utaratibu wa kutongoza kwa siku angalau demu mmoja. hii ikoje wakuu
 
wakuu kulingana na kuwa na udomo zege uliopitiltilza na hii kupelekea kuwa mwanachama wa chaputa mwenye kadi ya kudumu. kuna jamaa kanishauri niweke utaratibu wa kutongoza kwa siku angalau demu mmoja. hii ikoje wakuu
Pole sana mkuu

Una umri gani mpaka sasa?

Na vipi hiyo punyeto haijakuathiri kiisaikolojia?
 
We endelea tuu na puchu yako siku ukikutana na mwanamke hiyo aibu yake jiandae kisaikilojia na kifizikia.
 
Back
Top Bottom